Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Revenge: Napeleka kilio kwa binti fulani siku ya kupeleka barua

Sawa kushangaa utashangaa. Nimekuwekea mfano hapo lakini. Je ni ipi itakushangaza zaidi?

Yani ipi itakufanya ujisikie aibu wewe kama mtoto kusikia baba yako kachepuka au kusikia mama kachepuka?
Kwangu zote ni aibu.
Dhambi ni dhambi bila kujali amefanya nani..hakuna unafuu kwenye dhambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ataipata mbinguni haki yake.
Ni kweli kabisa ataipata mbinguni maana Mungu anajudge kwa haki.

Ikiwa huko mbinguni watu hupata stahiki zao,Je,kulikuwa na haja gani ya yeye kumlipa huyo dada kwa wakati huu tukiwa duniani?
Kwanini asimuachie Mungu tu amlipe huko mbeleni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ile kauli wanasema kwa Mungu mbali

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wengi kati ya Wanawake wanaona mtoa mada amefanya ukatili mkubwa mno ni wale waliojiassume wao ndio girlfriend huyo msaliti (nao pia kiuhalisia ni wasaliti au waliwahi kuwa wasaliti) na wanaoassume kama wao ndio wangekuwa mama wa girlfriend Huyo.
Na wanaoona mtoa mada yuko sahihi ni wale waliojiassume kama wao ndio wangekuwa mama au Dada wa mtoa mada. Tujifunze kubalance mambo kwa kuyachunguza kwa pande zote mbili.

Na wengi ya wanaume wanaotaka kumpinga mtoa mada ni kwa sababu wanaona mtoa mada amewavua nguo na kuonekana kama wanawake ambao huweza kuwa soft kwenye misimamo yao.
Msimamo ni msingi wa kwanza kabisa wa binadamu katika kuishi kwake.
IMG_20210517_124739_106.jpg
 
Mimi naona kafanya sawa kabisa. Kajiepusha na mambo mengi. Labda hata binti na wazazi wangekuja kujua kuwa anatembea na rafiki yake na binti wangeweza kudhani labda huyo rafiki yake nae ndio sababu jamaa hataki kusikia kitu. Hiyo ingemletea shida pia huyo rafiki.
Kacheza vizuriii sana huyu mwambaa...

Huyu mwamba kama ni mnywaji inabidi nimchape round 5 za castle lager aisee
 
Wengi kati ya Wanawake wanaona mtoa mada amefanya ukatili mkubwa mno ni wale waliojiassume wao ndio girlfriend huyo msaliti (nao pia kiuhalisia ni wasaliti au waliwahi kuwa wasaliti) na wanaoassume kama wao ndio wangekuwa mama wa girlfriend Huyo.
Na wanaoona mtoa mada yuko sahihi ni wale waliojiassume kama wao ndio wangekuwa mama au Dada wa mtoa mada. Tujifunze kubalance mambo kwa kuyachunguza kwa pande zote mbili.

Na wengi ya wanaume wanaotaka kumpinga mtoa mada ni kwa sababu wanaona mtoa mada amewavua nguo na kuonekana kama wanawake ambao huweza kuwa soft kwenye misimamo yao.
Msimamo ni msingi wa kwanza kabisa wa binadamu katika kuishi kwake.View attachment 1788242
Wenye misinamo yetu tumemuelewa mtoa mada
 
Wewe jamaa hatari asee nina misimamo ila yako too much mkuu. Nimewahi kupata hali kama hiyo ingawa huyo mwanamke hatukua tumefika stage ya kwa wazazi lakini aliponisaliti nikajua sikurudi nyuma.
Alilia aliumwa nikatafutwa hadi na wazazi wake nikaambiwa basi niongee nae tu awe poa nikakubali mpaka leo mwaka wa 6 akipiga napokea tunaongea, tunachat she's okay anamahusiano ananishirikisha kila kitu ni kama tumekua marafiki sana. Anasemaga wewe mwanaume mpaka siku nakufa sitaacha kukupendaa nilifanya utoto sana.
 
Kwangu zote ni aibu.
Dhambi ni dhambi bila kujali amefanya nani..hakuna unafuu kwenye dhambi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa. Ila umekuwa mstari wa mbele kumtetea huyo mchumba feki. Amevuna alichopanda hakuna namna ya kuweza kumtetea asee.

Kwangu mimi mleta mada angekuwa hajafanya sawa kama tu angemuua ila alichofanya nampa [emoji817].
 
Nimegundua kupitia comment wengi humu si waaminifu, mnapenda sana kusamehewa mkijiwekea kinga mkikosea nanyinyi msamehewe, ukikosea utalipia na ndo kanuni ya maisha ilivyo, kabla sijafanya lolote nilimtahadharisha huyu binti, wala haikuwa surprise kwa kilichotokea, alafu mbaya zaidi kuna wanaume humu nao wanasema eti mimi katili, ndo wonder mnapelekeshwa na wanawake zenu, malofa kweli.
Mkuu wewe na Jokajeusi mnengewe sanamu liwekwe pale posta
 
Back
Top Bottom