Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini Ethiopia haiko mbali, wanawapa joto mkiwakuta uwanjani. Tanzania tunakuja tugawane hizo medals.All the medals ever won at Olympics games combined exet for 2016, Ethiopia haiono kitu.. You cannot deny Kenya's success on this one
View attachment 555398
whatever makes you sleep at night...but that wont change facts...Kenya is the best...then SA then Ethiopia...hao wengine wote pamoja na tz ni bure...wamarekani na waingereza wanakuja ku practice kule Eldoret Iten..sasa watz ndio akina nani? lol! waende tu kule ethiopia....we only practice with chamions..not sluggards and losers....hehe..tazama hapa...Na huko 1950 mlikuwa mnashida kama siku hizi? Huko mlikuwa mnakimbia kihalali na Tanzania na Ethiopia wote walikuwa wanapata medals moja mpaka tatu. Leo kwa boost ya kitu fulani unaona matokeo. Tukimbie ile ya kweli tuone. Magufuli alimwabia Ethiopia PM anaomba Tanzania waka practice Ethiopia, hatukuomba Kenya maana tunajuwa nini kinafanyika Kenya.
Sawa ntalala vizuri kweli [emoji23]whatever makes you sleep tonight...but that wont hange facts...Kenya is the best...then SA then Ethiopia...hao wengine wote pamoja na tz ni bure...
kila la heri...tupatane uwanjani kule London...lol! eti tz kwa mbio...mnachekesha kweliSawa ntalala vizuri kweli [emoji23]
Now hold on cowboy, tupe muda to get on shape. Tutawachapa tu soon kama zamani.kila la heri...tupatane uwanjani kule London...lol! eti tz kwa mbio...mnachekesha kweli
na mkifanya hivyo tutafurahi kwani nyie ni wenzetu...ila Kenya kwa riadha ni kama Brazil na Germany kwa soka...sasa usi expect Australia kushinda Brazil kwa world cup final kwa urahisi....tunawapa kichapo cha mbwa uwanjani.. kabla mpate the first medal, we will have 26 medalsl...athletics powerhouses ndio hawa..Now hold on cowboy, tupe muda to get on shape. Tutawachapa tu soon kama zamani.
Ithiopia hua ndo competition Yetu, hua wanatupa Joto sana kwa mbio ndefu.. Lakini mara nyingi hua tayari tushashinda medali nyingi kuwaliko, sasa hawa wa Ethiopia hua wanatuharibia overal medals hapo ndo hua inaleta shida.. Lakini after all hua tunachukulia kama hali ya mchezo woowte, whats the fun of winning if you dont have a rival, right?Lakini Ethiopia haiko mbali, wanawapa joto mkiwakuta uwanjani. Tanzania tunakuja tugawane hizo medals.
Try to be diplomatic mkuu, that was a bit too harshMechi zipi za kirafiki, wakati mkitangaza mbio za Kilimanjaro Wakenya huja na kunyakua kila kitu, labda hao ndugu zenu waje kufanyia mazoezi Kenya.
Ndio maana nikamwabia jamaa hapo mwanzo kwenye tread angesema Ethiopia ningemuelewa. Ethiopia wana training area nzuri for athletes, Kericho ni kuzuri, lakini Oromia kuna more challenging maintains na hali ngumu ya hewa kitu kinacho kinaongeza ujasiri mkimbiaji.Ithiopia hua ndo competition Yetu, hua wanatupa Joto sana kwa mbio ndefu.. Lakini mara nyingi hua tayari tushashinda medali nyingi kuwaliko, sasa hawa wa Ethiopia hua wanatuharibia overal medals hapo ndo hua inaleta shida.. Lakini after all hua tunachukulia kama hali ya mchezo woowte, whats the fun of winning if you dont have a rival, right?
MAranyengine wa ethiopia huja ku train nasisi na mara nyengine wanaridha kadhaa wa kenya wamesafiri Ethiopia kuona wanatrain vipi huko
Try to be diplomatic mkuu, that was a bit too harsh
Kama ni kuzuri zaidi basi Ethiopia wangekua wakishinda zaidi, its that simple, kwasababu mahali ka iten kuna milima pia na hali ya anga iko shwariNdio maana nikamwabia jamaa hapo mwanzo kwenye tread angesema Ethiopia ningemuelewa. Ethiopia wana training area nzuri for athletes, Kericho ni kuzuri, lakini Oromia kuna more challenging maintains na hali ngumu ya hewa kitu kinacho kinaongeza ujasiri mkimbiaji.
Wapimwe hao wamesheheni midawa ya kusisimua misuli kwenye kila kona ya body cells, nani asiyejua you athletics are addicted to the dope.Wanaridha wa kenya waliposkia Tanzania nzima inatuma wanaridha wanane pekeyake
![]()
Anyway, Hio picha imepigwa leo, pale JKIA, team Kenya first batch ikifika kupanda ndege
![]()
![]()
Hakuna mwanariada anayeweza kuthubuti kuweka visisimua misuli akienda kushindana London au miji yoyotemikuu ya EU, kule wanachukulia serious, hata wale wanao chukua hayo madawa wanajua hivyo, London haswa pale hua hauwezi ukakula dawa yoyote ndio maana London 2012 Olympics inasifika mpaka leo manaake mbali na mashabiki walikua ngangari kuthibiti doping..Wapimwe hao wamesheheni midawa ya kusisimua misuli kwenye kila kona ya body cells, nani asiyejua you athletics are addicted to the dope.
Hakuna mwanariada anayeweza kuthubuti kuweka visisimua misuli akienda kushindana London au miji yoyotemikuu ya EU, kule wanachukulia serious, hata wale wanao chukua hayo madawa wanajua hivyo, London haswa pale hua hauwezi ukakula dawa yoyote ndio maana London 2012 Olympics inasifika mpaka leo manaake mbali na mashabiki walikua ngangari kuthibiti doping..Wapimwe hao wamesheheni midawa ya kusisimua misuli kwenye kila kona ya body cells, nani asiyejua you athletics are addicted to the dope.
Labda hujuwi tu, lakini kinachofanyika Kenya, Ethiopia kinafanyika pia. Namba kubwa ya watali (1millon) wanokwenda Ethiopia, wana kwenda kwajili ya kuona mambo ya kale kama dini and historia ya Wayahudi (Israel's). Lakini asilimia kubwa pia wanakwenda kwenye utali wa michezo. Sio kweli kama hawashindi medali, wao nguvu yao wameweka kwenye riadha (track and field). Kenya medali zenu mnachangana na michezo mwingine kama ngumi, mikuki nk.Kama ni kuzuri zaidi basi Ethiopia wangekua wakishinda zaidi, its that simple, kwasababu mahali ka iten kuna milima pia na hali ya anga iko shwari
Kuna wanaridah wengi sana wa kutoka nchi mbalia mbali wanaenda ku train kule iten hata sikuhizi kumeanza kujengwa 3 na 4 star hotels
Hata Jamaica na Kenya wako na mpango wa ku swap coaches, watupatie coaches was sprits (100m,200m,400m) na sisi tuwapatie coaches wa 800m,1,500m, 3000m, 5000m,10,000m.... kila coach afanye training kwa miezi kadhaa alafu warudi ma kwao ,...Kama ethiopia ndo ingekua mpabe basi jamaica ingefanya mipango na hao wala sio sisi PressReader.com - Journaux du Monde Entier
na mkifanya hivyo tutafurahi kwani nyie ni wenzetu...ila Kenya kwa riadha ni kama Brazil na Germany kwa soka...sasa usi expect Australia kushinda Brazil kwa world cup final kwa urahisi....tunawapa kichapo cha mbwa uwanjani.. kabla mpate the first medal, we will have 26 medalsl...athletics powerhouses ndio hawa..
Kenya
Jamaica
USA
SA
Ethiopia