Endelea kutembelea mpaka wakopaji binafsi lakini usijaribu kutegemea msaada wa serikali Endapou uchaguzi upo mbaliNimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
16 percent.Wakuu, naomba kujua riba ya kukopa Tanzania Commercial Bank (TCB) (zamani Tanzania Postal Bank, TPB).
Kwahiyo hadi 2025?Endelea kutembelea mpaka wakopaji binafsi lakini usijaribu kutegemea msaada wa serikali Endapou uchaguzi upo mbali
wabongo ndoto zitatuuaNimetembelea mabenki matatu makubwa nchini bado riba inacheza 17%-19%.
Benki ya wazanzibari wao kidogo wana pungufu 12% - 16%
Tuliambiwa serikali imeingiza Trilioni 1 kwenye mzunguko na riba itashuka hadi 8% ila hadi leo kimya.
Shusheni riba watu tukope tukalime mahindi Katavi.
Huo mkopo wa kilimo masharti yake yapojeNmb wanatoa 10% lakin kwenye kilimo.
Tulikubaliana hii ni inji ya wakulima.
Nyinyi wafanyabiashara mnaujanjaujanja mwingi endeleeni kulipa hizo 18%.
Kilimo kwanza.
Hahahahaha umenikumbusha mbali sana.Hahahaha wakati umepata mbegu ukumbuke kuna kijicho cha mashambani kile[emoji28]
Kwahiyo watumishi wanakamuliwa kuliko wafanyabiasharaHuo ni mkopo wa mlaji,Riba yake lazima iwe kubwa kote duniani.Consumer loans ni tofauti na Commercial loans.Riba ya mkopo lazima itoe faida ambayo inaweza kulipa gharama za kuendesha na kusimamia mkopo.Consumer loans lazima ziwe na Riba kubwa na serikali haijalenga kupunguza riba za consumer loans bali ni commercial loans.
Basi waweke dirisha pale BOT tukakope hukoKamwe haziwezi shuka...
Utajua haujuiš unapanda uvune gunia 30 unavuna 9.Hahahahaha umenikumbusha mbali sana.
Labda ukakope kwenye Bank za kislaam...Basi waweke dirisha pale BOT tukakope huko
Au usipate kabisaUtajua haujui[emoji28] unapanda uvune gunia 30 unavuna 9.
Kilimo cha bongo KumaniokoršAu usipate kabisa
Ndio,Mikopo ya kibiashara inategemea kiwango cha pesa,risk etc.Ukitaka mkopo wa Bilioni n 1 unaweza negotiate ribaKwahiyo watumishi wanakamuliwa kuliko wafanyabiashara
16 percent.