abour
JF-Expert Member
- Apr 8, 2014
- 735
- 309
Hvi mkopo wa miaka mitano unaruhusiwa kurejesha kwa.mwaka mmoja?.naomba nichangie kwa sehemu cha kwanza ni njia ambayo inatumika kupata riba ni ipi?kuna straight line na reducing hapo utagundua mkopo mmoja lakin utalipa riba tofaut kutokana na njia anayotumia kucharge riba.Pili kuna suala la bima inalipwa kila mwez au mara moja wakati wa kukupa mkopo.Mfano bank x wao riba ni 17% na bima wanakata kila mwez 2% so hapo watasema riba tu ila hlo la bima hawakwambii utakuta kiukwel unalipa 20% kwa mwaka na bank y wao riba ni 20% bima wanachaji unapopata mkopo tu. So suala la wap riba kubwa inategmeana pia na gharama zinazo ambatana na mkopo huo,Ieleweke ya kwamba ukikaa na hela za mkopo muda mfupi riba ni ndogo na ukikaa nazo muda mrefu na riba ni kubwa.Tulilamike riba kubwa tu je na hizo hela tunakaa nazo muda gan.