W700 hio cooker inayo,
Kwa kawaida wali unapikwa nusu saa hadi dakika 40,
Kwa kuwa utapika mara mbili, maana yake ni saa moja hadi na nusu,
Means kwa siku utatumia 1 Unit kwenye rice cooker, sawa na unit 30 kwa mwezi,
Unit moja inauzwa 357Tsh,
Kwa mwez utatumia
357 X 30 = 11,000/- Tsh kwa ajiili ya umeme wa cooker