Rice cooker 1.8 l itaweza tumia umeme wa units 14 sawa na 5000 kwa siku 30

Sahihi
 
Akuna haja ya kupika mara mbili unapika chakula ya asubuhi na jioni Kwa pamoja then Ile jion unacook for 15 minutes mambo tayari. Ikipendeza nunua multi cooker Ili upike kila kitu Ina sevu time sana . Cha muhimu zingatia kutumia maji moto Kwa ajili ya kupika hapo wengi ndo awajui Hilo.
 
RICE COOKER NAYO TUMIA NIMEKUTA CHINI IMETOBOKA YAANI IMEUNGUA KWA CHINI ILA NI KITOBO SIJUI NINI TATIZO NI KAMA SIKU MBILI HIVI JANA NIKAGUNDUA NILIPOKUWA NAIFANYIA USAFIII
 
Megawatt
Iko hivi Dogo, Unit moja ni sawa na Megawatt 1000 used per 1 hour.
Kwa hiyo kama una Device labelled 700watts maana yake ukiiwasha for 1 unatumia 0.7unit ≈ 1unit......so unaweza kuhesabu kama utatumia dakika 20 badlaa ya dakika 60.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…