Jack Pemba hajawahi kuwa break dancer,utakuwa umechanganyaHuyu jamaa ninamkumbuka alikuwa mkali wa break dance miaka hiyo ya 19 kweusi, pamoja na kaka yake Eliud Pemba, mjengoni tulikuwa tunawaachia nafasi kwakweli.
HahahahaBro wake anavaa nguo za kike lakini sio Shoga
Hajachanganya ni yeye alikua anajua kuvunja hakumaanisha dancer as Black Moses au Jobiso nkJack Pemba hajawahi kuwa break dancer,utakuwa umechanganya
Naskia aliwah kwenda kwa muhind anamuuza mtoto wake aliyezaa na Mrusichuche but sasa hivi kama kapona havai tena
Steve Jobiso.Hajachanganya ni yeye alikua anajua kuvunja hakumaanisha dancer as Black Moses au Jobiso nk
Kuna Jobiso original na dogo alikua anajiita Jobiso nadhan ndio uliyesoma naye mama yake alikua dancer pia alidanganywa na Defao anamchukua kumleaSteve Jobiso.
Umenikumbusha mbali mno....Tulikuwa nae mtaa mmoja Ilala akaacha shule darasa la mbali kisa kucheza dance.
Alikua maarufu mno wakati ule...hatuna raha mtaani.
msijifanye mnajua watu humu ndani-kwao aliyekuwa akicheza breakdance ni Chuche pake yakeHajachanganya ni yeye alikua anajua kuvunja hakumaanisha dancer as Black Moses au Jobiso nk
Lakini hawajafanya mbaya sana, hata kama wamekosea sana lakini kuna harufu ya kumjua mhusika kwa kuwa ndugu yake ndio dancer (tusisahau hapa kulikuwa na mtindo wa kutembelea nyota ya ndugu, zile za kuanzisha kiaina alafu Chuche anamaliza, sasa mkienda uswahili mtaonekana wote mpo vizuri)msijifanye mnajua watu humu ndani-kwao aliyekuwa akicheza breakdance ni Chuche pake yake
Mkuu Jack na Eliud walikuwa wachezaji (kimtaani) wazuri tu wa break dance.msijifanye mnajua watu humu ndani-kwao aliyekuwa akicheza breakdance ni Chuche pake yake
Yeah mkuu itakuwa ndio huyo ninaesema Steven Jobiso ambae mama ake alikuwa Dancer pia.Kuna Jobiso original na dogo alikua anajiita Jobiso nadhan ndio uliyesoma naye mama yake alikua dancer pia alidanganywa na Defao anamchukua kumlea
Eliud alikuwa DJ,Chuche alikuwa breaker,Jack alikuwa bado sanaMkuu Jack na Eliud walikuwa wachezaji (kimtaani) wazuri tu wa break dance.
Small jobiso NOT stevenYeah mkuu itakuwa ndio huyo ninaesema Steven Jobiso ambae mama ake alikuwa Dancer pia.
Huyo Jobiso mwingine sijawahi kumjua.
Alikwenda Uingereza akadate bint ambae baba yake ana club ya mpira, mzee alimwambini Jack mazima kuja kuendeleza football Tanzania, alitegemea atajenga academy wawe wanachukua vijana moja kwa moja kwenda kucheza Ulaya.Ukiwa na nyota ya pesa huyu Jack anayo kuna kipindi Alichoka mbaya sasa karudi tena I hope atakuwa wise this time. Jack alikuwa footballer.mzuri sana nilimjua Shaaban Robert kabla kufukuzwa kwenda Kinondoni. Break dance kabda utotoni
Achana nayeMkuu Jack na Eliud walikuwa wachezaji (kimtaani) wazuri tu wa break dance.
Kuna Jobiso original last time nilimuona ni Mc Promo za WindhoekYeah mkuu itakuwa ndio huyo ninaesema Steven Jobiso ambae mama ake alikuwa Dancer pia.
Huyo Jobiso mwingine sijawahi kumjua.