Enzi hizo ikiitwa "mzizima".[emoji38] [emoji38] [emoji38]Faiza ni mkubwa zaid anazungumzia Dar ya nyuma zaid
Yaap sasa hii ya akina Jack ni juzi tu enzi za ruksaEnzi hizo ikiitwa "mzizima".[emoji38] [emoji38] [emoji38]
Faiza ni bibi kizee enzi za kina KingungeFaiza ni mkubwa zaid anazungumzia Dar ya nyuma zaid
dah!!...sawa mkuu.Yaap sasa hii ya akina Jack ni juzi tu enzi za ruksa
Ha ha ugomvi huoFaiza ni bibi kizee enzi za kina Kingunge
[emoji23] [emoji23] ndo walewaleJack ni Mmalawi mama yake ndio mnyakyusa
ndo maana ana mastori ya mashosti kibaobibie sky eclat hongera kwa kula chumvi nyingi...nimekuwa nafatilia sana post zako hasa zile unazoandika kwenye mabandiko ya mzee Mohamed said.
nilichogundua ni kwamba wewe ni kati ya wale "wadada wa mujini" wa dar es salaam ya enzi za mzee ruksa.
kiufupi kwa hapa JF wewe ni kiboko ya mwanamama faiza Foxy.maana na yeye kwa habari za dar es salaam ya zamani hajambo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
bibie sky eclat hongera kwa kula chumvi nyingi...nimekuwa nafatilia sana post zako hasa zile unazoandika kwenye mabandiko ya mzee Mohamed said.
nilichogundua ni kwamba wewe ni kati ya wale "wadada wa mujini" wa dar es salaam ya enzi za mzee ruksa.
kiufupi kwa hapa JF wewe ni kiboko ya mwanamama faiza Foxy.maana na yeye kwa habari za dar es salaam ya zamani hajambo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ni kweli mkuu, ex mke wake ni mtoto wa Freddy Shepherddoh! hii sio kweli mkuu....alikuwa anaishi uingereza maisha ya kawaida ya box akazaa na mzungu akapata uraia wa uingereza. utajiri wake sio wa halali unatokana na black market escrow. wanaija wanaita 419.
Freddy Shepherd ni mmoja wa mamilionea alikuwa chairman wa Newcastle united ila hana uhusiano wowote na Ex wa huyo Jackie.... labda kama wana undugu kwa mbali....Ni kweli mkuu, ex mke wake ni mtoto wa Freddy Shepherd
Afadhali umesema wewe?? mimi sijui hizi habari zinatoka wapi?Freddy Shepherd ni mmoja wa mamilionea alikuwa chairman wa Newcastle united ila hana uhusiano wowote na Ex wa huyo Jackie.... labda kama wana undugu kwa mbali....
Ok mkuuFreddy Shepherd ni mmoja wa mamilionea alikuwa chairman wa Newcastle united ila hana uhusiano wowote na Ex wa huyo Jackie.... labda kama wana undugu kwa mbali....
Eliud?,kuna kipindi alikuwa anashughulika na kufanya video shooting,walikuwa wanaishi Upanga?...nadhani ni yeye...daaah Madamee heshima yako sana.Huyu jamaa ninamkumbuka alikuwa mkali wa break dance miaka hiyo ya 19 kweusi, pamoja na kaka yake Eliud Pemba, mjengoni tulikuwa tunawaachia nafasi kwakweli.
Huyu jamaa ninamkumbuka alikuwa mkali wa break dance miaka hiyo ya 19 kweusi, pamoja na kaka yake Eliud Pemba, mjengoni tulikuwa tunawaachia nafasi kwakweli.
Ya na alifanya kazi Bima, pia walikua na kaka anaitwa Martin, ninakumbuka tuliwafupisha kama Mape (Martin Pemba) na Elpe (Eliud Pemba).Eliud?,kuna kipindi alikuwa anashughulika na kufanya video shooting,walikuwa wanaishi Upanga?...nadhani ni yeye...daaah Madamee heshima yako sana.
Mara ya mwisho Eliud nilimuona alikua anafanya kazi ItvYa na alifanya kazi Bima, pia walikua na kaka anaitwa Martin, ninakumbuka tuliwafupisha kama Mape (Martin Pemba) na Elpe (Eliud Pemba).
Hahahaa...mkuu nimecheka sana...sasa why avae nguo za kike au ukata mkuu?Bro wake anavaa nguo za kike lakini sio Shoga
Jamaa alifiwa na mkewe mrusi baada ya hapo ndio akaanza hizo swagaHahahaa...mkuu nimecheka sana...sasa why avae nguo za kike au ukata mkuu?