As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,538
Dada culituaga wewe humu JF? Kumbe bado upo upo?Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada culituaga wewe humu JF? Kumbe bado upo upo?Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Nimefurahi sana kukuona tena jamvini dada Sky Eclat mimi ni mmoja ya watu wanaokukubali sana, ulivyosema unajitoa jf nilijiskia vibaya sanaNinavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Ukiwa huna hela aisee unakuwa makini kuziangalia hela zikiwa mikononi mwa mwingine yaani mpaka hela ngapi mbovuMaskini tuna macho mkuu,kila noti ikirushwa tayari ishahesabiwa hapo
Usiwe unaamini kila kinachoandikwa humu mkuuNimefurahi sana kukuona tena jamvini dada Sky Eclat mimi ni mmoja ya watu wanaokukubali sana, ulivyosema unajitoa jf nilijiskia vibaya sana
Mil 30 ya Uganda ni sawa na Tsh mil 18.5 Kwa rate ya 1.62Sasa milioni 30 ya uganda si ni 5000 ya bongo hii ni exchange rate ya 2015 inawezekana ikawa hata 3500
Shukeani mkuuNimefurahi sana kukuona tena jamvini dada Sky Eclat mimi ni mmoja ya watu wanaokukubali sana, ulivyosema unajitoa jf nilijiskia vibaya sana