Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Hahahaha angalia kufuru hii...


ivan-1.jpg

ivan-2.jpg

ivan-4-2.jpg

ivan-7.jpg

ivan-8.jpg

ivan-burrial-1.jpg

ivan-burrial-3.jpg

ivan-burrial-5.jpg


CC Numbisa
Nikifa uje unizike hivi mama
hyo audi ya pemba si ya mchezo mchezo walahi
 
Nimesikia Jack Pemba alikatazwa kusogelea hilo kaburi-nia yake ilikuwa kuweka historia mpya Uganda-boot ya gari yake ilijaa pounds za UK-yaani hata nafasi ya kuweka coffin ingekuwa taabu
Huyo showoff 2 hku tz ndgu zke hoi kimaisha,watu wenye asset hawafanyi ujinga huo wke
 
Hivyo Uganda hakuna Serikali? Hao wote waliomwaga fedha kaburini walipaswa kukamatwa na kushtakiwa mahakamani. Hili ni kosa la jinai. Ni sawa na kuchana fedha hadharani. Maana yake umeziondoa fedha ya serikali katika mzunguko halali wa kiuchumi.
Povu la nn? si mkwanja wao?
 
Hivi serikali iko wapi watu anachezea pesa ambazo serikali imegaramia kuzitengeza
 
Hii ndo tofauti ya mwafrika na viumbe vingine...!!
Bill gate anapesa kuliko wao lakini hatujawahi sikia akifanya hivi vitu vya ajabu ajabu...!!
 
Watu mishipa imewatoka!!
Sio kila pesa ni orijino
Zingine feki tu
 
Maskin..nmemuwaza Gambo ghafla,,angekua hvo nae nadhan angeomba afe wamchangie.na hv n mroho wa kodi ya misiba duh
 
Back
Top Bottom