Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Rich gang members wamwaga mamilioni ya pesa kaburini kwa Ivandon

Hapo walikuwa wanafanya ibada. Refer Nigerian movie called Billionaire club
Ndo maana maiti haijafunuliwa kama zilivyo tamaduni za kiafrika kuona sura ya mwisho wangefunua mngeona alama za pentagon,,bikar,,triangle,,mafuvu,,,,ktk suti walio mvika...
 
Mil 30 hyo [emoji23][emoji23][emoji23] acheni uongo hata mil1 haijafika halaf ni hela ya uganda hyo haina hata dhamani[emoji23]
 
Hyo ni rich gang ya kina Birdman,money more,rich homie Quan,young thug,t-wayne
au rich gang ipi?
 
Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Kabisaaa! Hawana uchungu!
 
Back
Top Bottom