Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 590
- 482
Za unga si unajua hazina hasaraNi notice halisi kweli hizo?
Nasita kuamini kama ni noti halisi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Za unga si unajua hazina hasaraNi notice halisi kweli hizo?
Nasita kuamini kama ni noti halisi.....
We umenenaUkute ni masharti...huwa hayakiukwi aise...mtasema mtachoka lakini wenzenu hawako tayari kusulubiwa.
Nawewe umenena vyemaInawezekana kweli wanatambika maana Ivan alikuwa sangoma, tunaweza tukawa tunaona maburungutu ya noti kumbe vichwa vya watoto wachanga
Anaumia kivipKungekua na nafasi ya kufufuka kutoa neno la mwisho. Jamaa angewaambia acheni ndugu zangu,mnaniumiza huku nilipo.
Ndo maana maiti haijafunuliwa kama zilivyo tamaduni za kiafrika kuona sura ya mwisho wangefunua mngeona alama za pentagon,,bikar,,triangle,,mafuvu,,,,ktk suti walio mvika...Hapo walikuwa wanafanya ibada. Refer Nigerian movie called Billionaire club
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106]Uliowahi kukutana nao au ulowahi kuusikia!??
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hela ya Futari yenyewe Leo nimeungaunga , Daaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ata mimi ningefukua aisee!Ninavyowajua wa-Ganda labda jeshi la polisi lihamie hapo
Kwani huko aendako hujui kama unga Umepanda bei...?..wangezipeleka hata kwa watoto yatima ingekuwa vizuri zaidi..
Kabisaaa! Hawana uchungu!Sasa familia ngapi wenye hali duni wangenufaika na hizo hela. Ningefurahi Museveni angelizungumzia hilo, na wote waliofanya hivyo kuchunguzwa walivyo zipata hizo hela, maana hawana uchungu nazo na sio watu wenye huruma ama imani
Ulitaka hao matajiri wa kiganda wapewe lift?Hivi huko Uganda hakuna mkuu wa mkoa aina ya Mrisho gambo...??
Nauliza tuu jamani...
Mkuu naona umeamua kutulisha matango pori. Shilingi za kiganda 30m ni sawa na milioni kumi na nane point kadhaa za kitanzania.
Uwe unasoma thread yote na unaielewa siyo unakurupuka tu pia hapa si sehemu ya kujiaibisha kama hujui kitu kaa kimya yaani milioni 30 ya kiganda ni swa na elfu 5?
Uwe unasoma thread yote na unaielewa siyo unakurupuka tu pia hapa si sehemu ya kujiaibisha kama hujui kitu kaa kimya yaani milioni 30 ya kiganda ni swa na elfu 5?