Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie nimependa hiko kibukta cha Dada ake Naseeb tu...
Kifesi anakusalimiaMie nimependa hiko kibukta cha Dada ake Naseeb tu...
Hapana ,huyo ni harmonize
huyo aliyevaa nguo nyeupe tupuwanayesema ameshinda matuzo ya BET ndio yupi hapo? nyinbo zake ni zipi?
samahani kwa usumbufu.
Ahsante kiongozihuyo aliyevaa nguo nyeupe tupu
kweli wanaume mna colour blindness...hiyo ni kijivu mkuuhuyo aliyevaa nguo nyeupe tupu
Poa poaAhsante kiongozi
OkHii ndo inaitwa nipe headline,nitengeneze habari......we jamaa utakua unaishi Tandale au Mbagala af sidhan kama hata f4 umemaliza....wabongo bwana kwa umbea!
NdioUtakuwa demu Wake wewe kakunong'oneza
Mfate IG ukamuulizeHuyo mwanamke ambaye yuko uchi anauza au?,kama anauza tafadhali nipm contact zake tufanye biashara.
Mwanaume hanaga muda wa kuchambua rangikweli wanaume mna colour blindness...hiyo ni kijivu mkuu
Utafiti wa maneno bila data sio utafiti,umeshamhoj mavoko?Umeongea na management yake?,nyie ndo mnasababisha watu wawe wanasema "HAYO MANENO YA MITANDAONI"Mkuu kataa usikatae ukweli ndio huo
Nimefanya utafiti wa muda mrefu sana,sijakurupuka
Soma vizuri thread kisha angalia tena ulichokiandikaMavoko alikua hot kabla hajaja hapo,ametoa vibao vizur sana kabla hajasign hapo WCB ukisema alikuwa anaenda shimoni [emoji56][emoji56][emoji56][emoji56] unaongeza chumvi BAHARINI.
Kuhusu kunyanyapaliwa naona ni mtazamo na ukisema hana furaha means amekwambia au ulimnukuu somewhere hujasema wapi amesema,wimbo wake wa 1 WCB ibaki stori, but alikua na nzuri kabla ya huo ikiwemo KUCHAPIWA SIRI YA NDANI