Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeona ulivyo msukule sasa.....Mavoko na Diamond wametoka pamoja na kuna wakati walikuwa level moja wakichuana huku wakifanana mpaka umri.Rich mavoko kuwa kwny lebel ya mond ni kosa ila ommy kusainishwa kwny lebel ambayo kiba ni miongoni mwa vioongozi kweny hiyo lebel siyo kosa some time tupunguzeni mihemuko.......kuhusu kukosa raha izo ni personal feeling huwezi jua kuwa huyu mtu hana raha mpk pale atakaposema mwenyewe
Hapo akibakwa sheria itamlinda?Halafu yuko na kakaake makalio nje
Mkapa alisemajeWewe ni mmoja wa wale alowataja mkapa 2015
Unataka kusema ww unafanana kiuwezo na kimafanikio na watu wote wa umri wako!!???? Dunia haiendi hivyo unavyofikiriaUnachosema ni sahihi kabisa, Richard alipaswa kuanzisha tample yake, maana uwezo na umaarufu na umri ulikua sawa tu na DAI. Sema sijui Nani alimpa ushauri wa kukata tamaa.
Sikumaanisha ulichofikilia pia.Unataka kusema ww unafanana kiuwezo na kimafanikio na watu wote wa umri wako!!???? Dunia haiendi hivyo unavyofikiria