Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

exalioth

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
2,263
Reaction score
3,897
Screenshot_2019-05-30-09-18-52.jpeg
Nmefuatilia mahojiano yaliofanyika Cloudfm katika kipindi cha XXL mavoko aliongea kuusu tetesi zinazo zagaa mitandaoni zinazo sema kua kaomba msamaha arudi kwenye lebo yake ya zamani W
Adam mchomvu alimuuliza lich mavoko kwamba, kitaani na mitandaoni kumekua na tetesi za jamaa kutaka kuludi kwenye lebo yake ya zamani

Mavoko alijibu hakuna kitu kama hicho na kuongezea kwamba ni heri kubakia na nguo iliochanika kuliko kubakia tumbo wazi.
 
View attachment 1111892Nmefuatilia mahojiano yaliofanyika Cloudfm katika kipindi cha XXL mavoko aliongea kuusu tetesi zinazo zagaa mitandaoni zinazo sema kua kaomba msamaha arudi kwenye lebo yake ya zamani W
Adam mchomvu alimuuliza lich mavoko kwamba, kitaani na mitandaoni kumekua na tetesi za jamaa kutaka kuludi kwenye lebo yake ya zamani

Mavoko alijibu hakuna kitu kama hicho na kuongezea kwamba ni heri kubakia na nguo iliochanika kuliko kubakia tumbo wazi.
Mbona Dozen alivyomuuliza,Je?,wakija na mkataba mpya ambao utakuwa umeuridhia uko tayari kurudi?hakujibu?
 
Back
Top Bottom