exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,263
- 3,897
Adam mchomvu alimuuliza lich mavoko kwamba, kitaani na mitandaoni kumekua na tetesi za jamaa kutaka kuludi kwenye lebo yake ya zamani
Mavoko alijibu hakuna kitu kama hicho na kuongezea kwamba ni heri kubakia na nguo iliochanika kuliko kubakia tumbo wazi.