Hossam
JF-Expert Member
- Feb 10, 2011
- 3,544
- 2,169
HahahahahaLich mavoko ni Mtanzania ambae pia ni msanii wa nyimbo za bongofleva maarufu kwa Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaLich mavoko ni Mtanzania ambae pia ni msanii wa nyimbo za bongofleva maarufu kwa Tanzania
Kwa hiyo wew ndo unaifufua
Unaulemavu wa ulimi unashindwa kutamka Rich au kuna sehemu kwenye ubongo wako inatafsiri tofauti herufi R inaifanya L? Fanya mazoezi mjomba kidogogidogo upo ukubwani sasa hizo herufi wanakosea watoto na jitahidi basi ukiandika kitu uwe unakipitia kabla ya kupost na kama kuna herufi ambazo huna uhakika nazo uliza wataalamu kabla ya kupost maana kuna baadhi ya watu walivyoona hiyo herufi hata hawakutaka kupitia ulichokiandika ndani wakidhani ni uzi wa mtoto wa chekechea anayejifunza kuongeaWewe ni raia wawapi mkuu? vile unatumia kiswahili
Hahahah embu rudia kusoma ulichoandikaOya acha masihala isifikiri hii ni fb
Reach mavocco
Oya acha masihala isifikiri hii ni fb
Maandishi yako yana ukakasi sana jifunze kuandika mkuu,hata kama ulikua na kitu muhimu cha kuandika lkn mtu akiona huo upuuzi wako anaona kabisa we ni chenga.
Clouds ni Adui wa Wcb,Huyo mavoco amejitoa wcb lkn hamna mpya alichokifanya.
Unaulemavu wa ulimi unashindwa kutamka Rich au kuna sehemu kwenye ubongo wako inatafsiri tofauti herufi R inaifanya L? Fanya mazoezi mjomba kidogogidogo upo ukubwani sasa hizo herufi wanakosea watoto na jitahidi basi ukiandika kitu uwe unakipitia kabla ya kupost na kama kuna herufi ambazo huna uhakika nazo uliza wataalamu kabla ya kupost maana kuna baadhi ya watu walivyoona hiyo herufi hata hawakutaka kupitia ulichokiandika ndani wakidhani ni uzi wa mtoto wa chekechea anayejifunza kuongea
Katika Jamhuri ya muungano wa Tanzania hakuna msanii anayeitwa Lich Mavoko.Lich mavoko ni Mtanzania ambae pia ni msanii wa nyimbo za bongofleva maarufu kwa Tanzania
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lich Mavoko
Rich Mavoko
Rich Mavocco
Rich Mavoco
Reach Mavokko
Rich Mavoko
Rich Mavocko
Achague jibu moja hapo kati ya hayo.