Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

Wewe ni raia wawapi mkuu? vile unatumia kiswahili
Unaulemavu wa ulimi unashindwa kutamka Rich au kuna sehemu kwenye ubongo wako inatafsiri tofauti herufi R inaifanya L? Fanya mazoezi mjomba kidogogidogo upo ukubwani sasa hizo herufi wanakosea watoto na jitahidi basi ukiandika kitu uwe unakipitia kabla ya kupost na kama kuna herufi ambazo huna uhakika nazo uliza wataalamu kabla ya kupost maana kuna baadhi ya watu walivyoona hiyo herufi hata hawakutaka kupitia ulichokiandika ndani wakidhani ni uzi wa mtoto wa chekechea anayejifunza kuongea
 
Kumbe kasema Lichi Mavoko basi fresh nilifikiri Richard Mavocko
 
Umekuja na screenshot kumbe hata hukusoma jina la msanii
Rich[emoji3581]sio Lich[emoji777]
 
Nilwahi kusema ni heri asingeenda kabisa.

Lakini kitendo cha kuingia na kutoka ndio alipoteza.

Niliposikia tu katoka nikajua baasi biashara imeshaisha tusubiri kumzika tu. Kashatoa nyimbo kibao lakini zote zinaonekana hamna kitu.
 
Maandishi yako yana ukakasi sana jifunze kuandika mkuu,hata kama ulikua na kitu muhimu cha kuandika lkn mtu akiona huo upuuzi wako anaona kabisa we ni chenga.
Clouds ni Adui wa Wcb,Huyo mavoco amejitoa wcb lkn hamna mpya alichokifanya.
 
Nmekuelewa mkuu ila kuniita mi mpuuzi hapo ndo unakosea sasa
Maandishi yako yana ukakasi sana jifunze kuandika mkuu,hata kama ulikua na kitu muhimu cha kuandika lkn mtu akiona huo upuuzi wako anaona kabisa we ni chenga.
Clouds ni Adui wa Wcb,Huyo mavoco amejitoa wcb lkn hamna mpya alichokifanya.
 
Haya basi nenda kwenye maada
Unaulemavu wa ulimi unashindwa kutamka Rich au kuna sehemu kwenye ubongo wako inatafsiri tofauti herufi R inaifanya L? Fanya mazoezi mjomba kidogogidogo upo ukubwani sasa hizo herufi wanakosea watoto na jitahidi basi ukiandika kitu uwe unakipitia kabla ya kupost na kama kuna herufi ambazo huna uhakika nazo uliza wataalamu kabla ya kupost maana kuna baadhi ya watu walivyoona hiyo herufi hata hawakutaka kupitia ulichokiandika ndani wakidhani ni uzi wa mtoto wa chekechea anayejifunza kuongea
 
Lich Mavoko
Rich Mavoko
Rich Mavocco
Rich Mavoco
Reach Mavokko
Rich Mavoko
Rich Mavocko
Achague jibu moja hapo kati ya hayo.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom