Chief Wingia
JF-Expert Member
- Jul 12, 2013
- 2,653
- 4,744
Mleta uzi shukran kwa taarifa
Japo kuna wanajamvi wamekomalia madhaifu yako katika kuchanganya herufi
"L & R"
Japo kuna wanajamvi wamekomalia madhaifu yako katika kuchanganya herufi
"L & R"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf mnamajibu jaman[emoji119]Me ni raia mwema
Maada[emoji777]Haya basi nenda kwenye maada
😂😂😂 jf na vimbwanga vyake
Kumbe wewe ni gazeti
Leach Mavoko
WCB ilim-boost sana kwa sababu, Ricjh alivuma sana halafu akapotea! Kenda kuwa under Kenyan Management wala hakuna cha maana alichokuwa amefanya! Alipoingia WCB ndipo nyota yake ikaanza kung'aa upya kabla hajakorofishana nao! Anachoshindwa kufahamu Mavoko ni kwamba kuna muziki na tasnia ya muziki! Inawezekana anaufahamu muziki sana lakini hana uelewa wa tasnia! Ni uelewa wa tasnia ndio unaoweza kumfanya hata average artist awe ana-shine kuliko talented artist! Hivi kuna anayeweza kupinga kwamba Rubby ni mkali mara 100 ya Nandy wakati ni Nandy ndie ana-shine kwenye game mara 100 ya Ruby! Sababu ndo ile ile, wakati Ruby anaujua muziki huku akiwa amezungukwa na watu wasioijua tasnia ya muziki; Nandy ni average lakini amezungukwa na watu wanaoijua tasnia ya muziki!Sasa hata iyo nguo iliyo chanika imeisha na kabaki tumbo wazi vile vile..Hii game bwana haitaki Hasira..Alifeli sana kuingia WCB ,na mbaya zaidi alipo left ikawa ndo bye bye.
WCB ilim-boost sana kwa sababu, Ricjh alivuma sana halafu akapotea! Kenda kuwa under Kenyan Management wala hakuna cha maana alichokuwa amefanya! Alipoingia WCB ndipo nyota yake ikaanza kung'aa upya kabla hajakorofishana nao! Anachoshindwa kufahamu Mavoko ni kwamba kuna muziki na tasnia ya muziki! Inawezekana anaufahamu muziki sana lakini hana uelewa wa tasnia! Ni uelewa wa tasnia ndio unaoweza kumfanya hata average artist awe ana-shine kuliko talented artist! Hivi kuna anayeweza kupinga kwamba Rubby ni mkali mara 100 ya Nandy wakati ni Nandy ndie ana-shine kwenye game mara 100 ya Ruby! Sababu ndo ile ile, wakati Ruby anaujua muziki huku akiwa amezungukwa na watu wasioijua tasnia ya muziki; Nandy ni average lakini amezungukwa na watu wanaoijua tasnia ya muziki!
Watu aina ya Ruby na Mavoko wanakuwa na kiburi cha kujua, na matokeo yake ndo haya!!!
Richi mavoko hajawahi kuwa msaa mzuri,ila akijitahid atakua mzuriAchana nao mkuu we huwajui watu wa humu?
Msaa ndio nini?Richi mavoko hajawahi kuwa msaa mzuri,ila akijitahid atakua mzuri
Sijui kuhusu Richi ila hapo kwa Nandy na Ruby umegonga penyewe mpenziWCB ilim-boost sana kwa sababu, Ricjh alivuma sana halafu akapotea! Kenda kuwa under Kenyan Management wala hakuna cha maana alichokuwa amefanya! Alipoingia WCB ndipo nyota yake ikaanza kung'aa upya kabla hajakorofishana nao! Anachoshindwa kufahamu Mavoko ni kwamba kuna muziki na tasnia ya muziki! Inawezekana anaufahamu muziki sana lakini hana uelewa wa tasnia! Ni uelewa wa tasnia ndio unaoweza kumfanya hata average artist awe ana-shine kuliko talented artist! Hivi kuna anayeweza kupinga kwamba Rubby ni mkali mara 100 ya Nandy wakati ni Nandy ndie ana-shine kwenye game mara 100 ya Ruby! Sababu ndo ile ile, wakati Ruby anaujua muziki huku akiwa amezungukwa na watu wasioijua tasnia ya muziki; Nandy ni average lakini amezungukwa na watu wanaoijua tasnia ya muziki!
Watu aina ya Ruby na Mavoko wanakuwa na kiburi cha kujua, na matokeo yake ndo haya!!!
HahahahLichi mavoko Ndo nani tuanzie apo kwanz
SoudybrownWho is guy?View attachment 1112200
Ni Rich [emoji818]Lichi mavoko Ndo nani tuanzie apo kwanz