Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

Rich Mavoko kawakata watu kilimilimi

Sijui kuhusu Richi ila hapo kwa Nandy na Ruby umegonga penyewe mpenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona enh, ndo maana nakupenda manake kila nilipo upo, na ulipo nipo!! Rich Mavoko anajua, sana tu kiasi kwamba hadi watu wakamtabiria angechukuwa crown ya Diamond! Hawa watabiri walishindwa kufahamu kwamba, Diamond mwenyewe anaifahamu sana tasnia ya muziki; na watu waliomzunguka wanaifahamu sana tasnia ya muziki! Mtu wa aina hii kumshusha ni ngumu hata kama ni average, na ndio maana Diamond ameanza kutabiriwa kuporomoka zaidi ya miaka 5 iliyopita lakini bado yupo pale pale! Si kwa sababu ni mkali sana kuliko wengine, bali kwa sababu yeye na watu wanaomzunguka wanaifahamu tasnia ya muziki inataka nini! Rich Mavoko ni mkali sana, tena pengine kuliko Diamond lakini haijui tasnia ya muziki ambayo ndilo kapu la wadau wote wa muziki; kuanzia mashabiki, biashara ya muziki, makampuni yanayotoa endorsement n.k!
 
Sasa hata iyo nguo iliyo chanika imeisha na kabaki tumbo wazi vile vile..Hii game bwana haitaki Hasira..Alifeli sana kuingia WCB ,na mbaya zaidi alipo left ikawa ndo bye bye.
Nakubali
 
Kwani nani kakwambia kama wangempokea mwenyew hawezi rudi ata iweje sababu hawawezi wakampokea ..tumia akili joh ao choo kimekuganda uko back ?
 
Ni heri kubakia na nguo iliochanika kuliko kubakia tumbo wazi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unaulemavu wa ulimi unashindwa kutamka Rich au kuna sehemu kwenye ubongo wako inatafsiri tofauti herufi R inaifanya L? Fanya mazoezi mjomba kidogogidogo upo ukubwani sasa hizo herufi wanakosea watoto na jitahidi basi ukiandika kitu uwe unakipitia kabla ya kupost na kama kuna herufi ambazo huna uhakika nazo uliza wataalamu kabla ya kupost maana kuna baadhi ya watu walivyoona hiyo herufi hata hawakutaka kupitia ulichokiandika ndani wakidhani ni uzi wa mtoto wa chekechea anayejifunza kuongea
Tatizo mnakosa cha kujadili ,ww umeshaelewa concept ni nini bado unalazimisha mjadala uwe rich vs lichi? Matumizi mabaya ya akili,

Sent from my HTC One M9 using JamiiForums mobile app
 
Hayo maneno yanamlenga mavoko au mimi
Kwani nani kakwambia kama wangempokea mwenyew hawezi rudi ata iweje sababu hawawezi wakampokea ..tumia akili joh ao choo kimekuganda uko back ?
 
Back
Top Bottom