Rich Mavoko kwenda kusign WCB ni jambo la aibu

AND THE FOOLS MONEY WAS GONE WITH HIS SIGNATURE

 
Exposure pia muhimu watu awajatembea tusiwalaumu mtu katembea sana kaenda out masaki. So vitu vingine ni kusamehe tu lol

Pole bibi njoo uchungulie passport yangu. Hahahaaa! FYI mi sibebi box useme nimejifungia kinchi kimoja Haloooooo! Nafanya biashara zote haramu na halali.
 
Done deal :WCB sign Rich Mavoko
 
Inapaswa umlaumu RchiMavoko kama atachemsha now ni mapema sana kuanza kumponda
 
Unadhani WCB ni independent kwa anachokifanya Diamond?

Yaani wanaweza kufanya maamuzi ambayo yanakinzana na utashi wa Diamond?
of course, hapa tunaongelea professional decisions, husikii Diamond alivyoimba kufokewa na salam?
 
Diamond,hamoniza na ray mtengeneze tu band muwe mnaimba kama ya moto..maana mnaigana sauti,kucheza nk
 
Sidhani kama umeshawahi kununua kazi yoyote ile ya msanii zaidi ya kudownload kwa MB na kutumia wahtsapp...
 
Hamna kitu kibaya kama kuongelea mambo ambayo mtu huna weledi nayo!
 
Kawekwa level moja na akina Harmonize kivipi?! Ile ni Music Label na sio Talent Search House kama THT!
 
Rich is so talented aiseeee ni kati ya wasanii wenye potential sema music industry iko corrupted vibaya mno inahitaji uwe roho ngumu ili uendelee kusimama na hapa ndio kipimo cha ushupavu kilipo vinginevyo unaishia kutumika na tycoons kisha kipaji chako kinaenda na maji kama utani.
Ni ngumu watu kuelewa ila mleta uzi anachomaanisha ni vile THE BEST FIGHTER ANAPO THROW A TOWEL EASILY kukubali kushindwa the moment ambayo unaamini angeweza ku-offer kitu zaidi,ingawa Rich mapema alionyesha kunyoosha mikono juu na ilikua wazi ataangukia mikononi mwa WCB kwa kua uwezo wa kufikiri ulifika mwisho na hakutaka kusema na NJAA yake najua aendako atashiba sana kwa muda ila awe makini na kutunza masurufu safari ni ndefu anaweza kufa njaa uko mbele pia pale WCB hawana utaratibu wa kuandika joint za uhakika wanaamini kwenye vimistari vyao dhaifu,vichupa vya hatari na midundo ya kuchezeka asisahau pia STUNTS lundo ili abaki kwenye line BTW ngoma yako mpya sio mbaya kiviile ila kama hauko sawa inawezeka umepanic mwanzo mgumu kua chini ya label all in all nakutakia kila jema kwenye HUSTLE zako maskini mwenzangu....Peace [emoji111]️
 
Huu ni mchambo wa haja
 
Samahani waungwana mnaoniheshimu ila nitampa neno dogo huyu binti anayejitoa ufahamu kwa muda.....

Lara ninakuhusudu sana na hasa kwa story zako ziniondoleazo stress lakini ukweli nitausema

Mchawi si lazma apae hivyo, "WEWE NI MCHAWI"
post yako umeikubali au!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…