Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesela ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesela ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa?

===

Richard Kasesela alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Iringa kuanzia 2015 hadi 2020, Pia ni mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Wilaya na Kamanda na Vijana Wilaya, UVCCM tangu 2012

Amekuwa ni Mwenyekiti wa PABC Kwa miaka 12, na kwa miaka 13 alikuwa ni MD wa ID Cards Solution Tanzania Ltd, Pia alikuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Washauri wa Migodi kwa miaka 3

Kielimu, Richard Kasesela ana MBA ya Masoko aliyoipata UDSM, Pia ana shahada ya kwanza ya Sanaa ktk Uchumi aliyoipata UDSM.
 
Ngoja tuone kama Makamanda mtakubali kirahisi kumuachia Kasesera hilo Jimbo. Ni wakati pia kama Taifa kuangalia mishahara, posho na kiinua mgongo cha Wabunge wetu.

Haiwezekani wanaccm wapigane vikumbo kwa kiwango hiki. Wako radhi kubwaga manyanga ya Ukuu wa Mkoa na Wilaya! Kisa Ubunge!!
 
CCM hawawezi kumteua huyo kubwa jinga, mpaka sasa CCM kawe wamejipanga kumpitisha tena Kipwe Warioba (DC wa Moshi). Bahati mbaya Kipwe mpaka kesho hana ushawishi wa kisiasa kwa raia wa kawaida.
 
CCM hawawezi kumteua huyo kubwa jinga, mpaka sasa CCM kawe wamejipanga kumpitisha tena Kipwe Warioba (DC wa Moshi). Bahati mbaya Kipwe mpaka kesho hana ushawishi wa kisiasa kwa raia wa kawaida.
kama hana ushawishi anateuliwaje ?
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Kawe tayari kuna mgombea wa kumrithi Mdee, Kasesela akajaribu tena Tukuyu!
 
CCM hawawezi kumteua huyo kubwa jinga, mpaka sasa CCM kawe wamejipanga kumpitisha tena Kipwe Warioba (DC wa Moshi). Bahati mbaya Kipwe mpaka kesho hana ushawishi wa kisiasa kwa raia wa kawaida.
Kipi hagombei tena bwashee!
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Huyo amezoea kutumwa hata akichaguliwa au akiteuliwa atatumwa tu maana biashara hawaziwezi ndio maana ukiwatoa kwenye hizo nafasi huwa wanajikomba ili waonekane watetezi wa Yesu Mpya
 
Hata yeye kuna vyeo hua anavitamani na alishavisema I wish i could be IGP,Kua mkuu wa malaika kule Mbinguni.....

So na wenzake wanatamani pia.
Ujasiri mkubwa sio lazima kuua simba, bali
kushinda nafsi yako....[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
NANI ATAMPA KURA MZEE WA KUJIPENDEKEZA ....AU ANAFIKIRI MZEE ALIKUWA HAJUI KUWA YEYE NDIE ALIKUWA ANATEMBEA NA FUKO LA PESA ZA MEMBE .....ASHUKURU HATA KWA HUO U DC WA KUDUMU ALIOPEWA .......
 
Back
Top Bottom