SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Wewe mbona huolewi wakina Chakubanga wanakuchezea tu kama chandimu vile?Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona huolewi wakina Chakubanga wanakuchezea tu kama chandimu vile?Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Muache aje watu wanze kufukua makaburi juu ya kale katabia kakeNgoja tuone kama Makamanda mtakubali kirahisi kumuachia Kasesera hilo Jimbo. Ni wakati pia kama Taifa kuangalia mishahara, posho na kiinua mgongo cha Wabunge wetu.
Haiwezekani wanaccm wapigane vikumbo kwa kiwango hiki. Wako radhi kubwaga manyanga ya Ukuu wa Mkoa na Wilaya! Kisa Ubunge!!
namshauri azingatie huu ushauri wako.Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Wewe umeshaolewa?Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
namshauri azingatie huu ushauri wako.
tatizo wanafanyia mambo yao vichakani mkuu.Nyinyi mbona mnatuzuia kumuoa yule mtoto wa kada wenu wa kule Bungeni lakini hatusemi kitu.
Leo umeongea pointRais punguza maslahi ya wabunge waache kelele
Mpaka wanatishia kutoa watu rohoNyinyi mbona mnatuzuia kumuoa yule mtoto wa kada wenu wa kule Bungeni lakini hatusemi kitu.
Ushauri kwa Kasesela, maadam yeye ni Mhe. DC, ajitulize tuu huko Iringa, wana Kawe wapo wa kutosha.Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Wanaume wa kumuoa awapate wapi?Wewe umeshaolewa?
Inabidi awe anavaa vimini aonekane aolewe...huyuWanaume wa kumuoa awapate wapi?
Kabisa. Siku Kasesera akichukua fomu basi JPM anatangaza mkuu mpya wa wilaya