Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #61
😆😆😆Huyu si alitukataa watu wa daslam kwamba tuna corona na inapaswa tutengwe, how comes anataka kuja kutuongoza sisi sisi watu wenye koronya ambao ni hatarishi kwake..!?