Mdee hajasaidia lolote Kawe aondoke tu!Kwa msaada wa nec,policcm na uzembe wa Chadema mdee ataondolewa kawe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mdee hajasaidia lolote Kawe aondoke tu!Kwa msaada wa nec,policcm na uzembe wa Chadema mdee ataondolewa kawe
Unaelewa jimbo la Kawe wanakaa watu wa namna gani lkn?Mdee lazima afungashwe virago awe na CCM au chama chochote
yeah . . . . such a nice commentUjasiri mkubwa sio lazima kuua simba, bali
kushinda nafsi yako....[emoji23][emoji23][emoji23]
Kasesela ana tamaa sana, yani hajaridhika na U-dc?Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Huyu anaweza akawa ameruhusiwa na amepimwa akakiri vigezo vya kwenda kuuangusha mbuyu. Majimbo ambayo yana watu waliojiimarisha sana, ukiona mtu ameamua kwenda pale, ujue siyo yeye!Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Ni kweli. She is beaultifulAolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Nani ataweza kumuoa msagaji?Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Kasesela angeenda kwao Rungwe.Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
HUU NI MKAKATI MPYA WA CCM KUHAKIKISHA VIONGOZI WAKISTAAFU SIASA WATAFANYA NINI!? Tetesi zinasema majimbo yaliyoingia matatani kwa kupata wagombea wengi ni mawili:-Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Itategemea burigi ameamkaje siku hyo.kama hana ushawishi anateuliwaje ?
Hivi ANNE makinda aliolewa na nani?Aolewe sasa ,mambo ya kutumika na walewa konyagi aachanae nayo umri umeenda.
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
hawataki hata kumsikiaKasesela angeenda kwao Rungwe.
Huyu si alitukataa watu wa daslam kwamba tuna corona na inapaswa tutengwe, how comes anataka kuja kutuongoza sisi sisi watu wenye koronya ambao ni hatarishi kwake..!?Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Anaitwa mbuyu au UBUYU!?Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.
Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "
Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Huo ndio utaratibu, hakuna jipya. Kwani lazima ajiuzuru nafasi aliyo nayo ili ajitose kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge au Urais au Udiwani. Huo ndio utaratibu, hivyo hawezi kuondoka na hiyo nafasi yake ibaki wazi, NO! Lazima ijazwe.Kabisa. Siku Kasesera akichukua fomu basi JPM anatangaza mkuu mpya wa wilaya
Na ndio maelekezo ya mzee babaHuo ndio utaratibu, hakuna jipya. Kwani lazima ajiuzuru nafasi aliyo nayo ili ajitose kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge au Urais au Udiwani. Huo ndio utaratibu, hivyo hawezi kuondoka na hiyo nafasi yake ibaki wazi, NO! Lazima ijazwe.