Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

Hivi kuna haja gani ya mtu kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa wizara halafu ndani ya mwaka mmoja au miwili akataka kugombea ubunge? Mtu anakuwa mkuu wa mkoa halafu miezi sita ijayo kashatangaza nia kugombea ubunge, hivi haturidhiki jamani? Mambo mengine JPM yuko sahihi. Wakate tu
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Kasesela ana tamaa sana, yani hajaridhika na U-dc?
Sasa jina lake litakatwa na mwenyekiti, maana hii ni dharau sasa, insurbodination kwa Rais wetu mpendwa JPM.
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Huyu anaweza akawa ameruhusiwa na amepimwa akakiri vigezo vya kwenda kuuangusha mbuyu. Majimbo ambayo yana watu waliojiimarisha sana, ukiona mtu ameamua kwenda pale, ujue siyo yeye!
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Kasesela angeenda kwao Rungwe.
 
Kawe watuletee mtu heavy weight kama Paskali mayala, Dr Wilborad peter Slaa, Advocate fulani jina kapuni kwa sasa. Yaani mtu mwenye akili timamu, uwezo na ufahamu wa jimbo linahitaji nini.

Halima amezamia kwenye Uanaharakati kama life insurance akiukosa ubunge anazamia kwenye NGO.
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
HUU NI MKAKATI MPYA WA CCM KUHAKIKISHA VIONGOZI WAKISTAAFU SIASA WATAFANYA NINI!? Tetesi zinasema majimbo yaliyoingia matatani kwa kupata wagombea wengi ni mawili:-

1. Kongwa kwa Ndugai (Form 50 tayari zimechukuliwa)

2. Ruangwa kwa Majaliwa (Form 23 tayari zimechukuliwa hadi sasa)

Maana huu ni muda wa mitihani kwa wanasiasa mashuhuri... Lengo ni kujua nje ya Vingora watafanya kazi gani nzuri yenye stahaha vikiondoka kwa kushindwa kwa aibu kubwa


Wakishinda kweli ujana wa kipumbavu wa kutengeneza watu wasiojulikana
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa ccm ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?


HII NI HATARI SANA WAKUU?
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Huyu si alitukataa watu wa daslam kwamba tuna corona na inapaswa tutengwe, how comes anataka kuja kutuongoza sisi sisi watu wenye koronya ambao ni hatarishi kwake..!?
 
Pamoja na Kauli ya Mwenyekiti wa CCM ya kuwataka viongozi wa kuteuliwa kuridhika na vyeo vyao , lakini taarifa za leo kutoka EA TV zinadokeza kwamba Mkuu wa Wilaya ya Iringa Ndugu Richard Kasesera ametangaza nia ya kugombea Ubunge jimbo la Kawe la Jijini Dar es Salaam.

Kwa kipindi cha miaka 10 jimbo hilo limeongozwa na Mbunge wa Chadema Mh Halima Mdee ambaye amepachikwa jina jipya la " MBUYU "

Swali ni Je Kasesera ataweza kuung'oa Mbuyu au anatafuta njia ya kuukimbia U-DC ili kukwepa kutumwatumwa ?
Anaitwa mbuyu au UBUYU!?
 
Kabisa. Siku Kasesera akichukua fomu basi JPM anatangaza mkuu mpya wa wilaya
Huo ndio utaratibu, hakuna jipya. Kwani lazima ajiuzuru nafasi aliyo nayo ili ajitose kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge au Urais au Udiwani. Huo ndio utaratibu, hivyo hawezi kuondoka na hiyo nafasi yake ibaki wazi, NO! Lazima ijazwe.
 
Huo ndio utaratibu, hakuna jipya. Kwani lazima ajiuzuru nafasi aliyo nayo ili ajitose kwenye kinyang'anyiro cha Ubunge au Urais au Udiwani. Huo ndio utaratibu, hivyo hawezi kuondoka na hiyo nafasi yake ibaki wazi, NO! Lazima ijazwe.
Na ndio maelekezo ya mzee baba
 
Back
Top Bottom