Uchaguzi 2020 Richard Kasesela ajitosa kuutaka Ubunge wa Jimbo la Kawe

Muache aje watu wanze kufukua makaburi juu ya kale katabia kake
 
Wa Kwanza Tukamtia Cross
Wa Pili Tukamtia Cross
Wa Tatu Tukamtia Cross
Wa Nne Tukampa
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania


*Viongozi Ninaowateua Waridhike Na Nafasi Zao
 
Huo mbuyu siku hizi umekuwa mchicha. Hata mtoto wa miaka miwili anung'oa bila shida..
 
Ushauri kwa Kasesela, maadam yeye ni Mhe. DC, ajitulize tuu huko Iringa, wana Kawe wapo wa kutosha.

Japo ni kweli Halima Mdee ni ubuyu, ila hata ubuyu, ulianza kama mchicha!.
P
 
Mdee lazima afungashwe virago awe na CCM au chama chochote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…