Tetesi: Richi Mitindo na Jackline Wopler wameachana

Tetesi: Richi Mitindo na Jackline Wopler wameachana

Yule dogo anaonekana tu ni upinde
Wopa alifosi ndoa na kitoto kile bila kufanya uchunguzi manake alikuwa anakimbizana na umri wa menopause kupata watoto
Amshukuru Mungu kwa baraka ya watoto, that's all that matters 🙏
 
Kama mleta uzi ni mwanaume akili yangu inanituma kwamba ndo wale wale kina agrey na cocastic sjui nimewaza nini ila nahisi ndo humo humo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] superstar wa JF nisitajweee, ulisikiaa wapiiiii??? Nipoooooo hapaa.
 
Yule dogo anaonekana tu ni upinde
Wopa alifosi ndoa na kitoto kile bila kufanya uchunguzi manake alikuwa anakimbizana na umri wa menopause kupata watoto
Amshukuru Mungu kwa baraka ya watoto, that's all that matters [emoji120]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwan wolper hakujua? Alijua sana, ila alidanganywa role ya muhusika wake, badoo bibi cheuciii, yule wake ndo kisangaaa sasa.
 
Back
Top Bottom