Dr. Mariposa
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 3,264
- 10,535
Alikuwa ana issue gani huko Malawi vijijini?Kuna kipindi alienda sijui Malawi ile au Zambia vijijini huko akiwa kwenye gari akawa anagawa pesa kwa wanakijiji yaan hata hawamjui wengine walipokea ila Wanawake walikataa na Watoto wengine walikimbia mbio ndefu,
Kuna jamaa kinyozi aliweka picha yake kwenye salun yake alimtambua ila hakuamini kama ni yeye kweli akapewa vibunda vya kutosha
Hapana dubenga ilikua hotelNdimo humo alimpigia video qeen wetu ?
Hata naelewa basi,Alikuwa ana issue gani huko Malawi vijijini?
Kuna kipindi alienda sijui Malawi ile au Zambia vijijini huko akiwa kwenye gari akawa anagawa pesa kwa wanakijiji yaan hata hawamjui wengine walipokea ila Wanawake walikataa na Watoto wengine walikimbia mbio ndefu,
Kuna jamaa kinyozi aliweka picha yake kwenye salun yake alimtambua ila hakuamini kama ni yeye kweli akapewa vibunda vya kutosha
OkHata naelewa basi,
Yeye alipost tu video akiwa huko na crew yake wana waenjoy wanavijiji huku wanamwaga mijihela.
Hahahaha hiyo hutokea niliona pia ya Justin Bieber amekaa na wale homeless wanapiga story hata hawamjui alivyoondoka akawaachia vibunda akasepa,[emoji23][emoji23][emoji23] jana niliona video kuna yule actor wa marvel anaitwa Chris pratt alikuwa na mtangazaji wanazunguka kuwauliza watu wanamjua yeye nani watu hawamjui mara waseme chriss evans [emoji23][emoji23][emoji23] ila hakuna alomjua nilicheka sana. Akazunguka na lupita pia mtu anaulizwa unamjua huyu hawamjui nilicheka sana
Mpaka unajiuliza watu wengine hawaangalii movie jamani
Hiyo ni jumla ya vyumba vyote. Kuna vya kulala mfano hapo vimetajwa vya kulala 12. Kuna kumbi za kupumzika, sinema, michezo kama pooltable, ofisi, studio nkSasa vyumba 109 ni hotel au nyumba ya kuishi familia?
Hahahaha hiyo hutokea niliona pia ya Justin Bieber amekaa na wale homeless wanapiga story hata hawamjui alivyoondoka akawaachia vibunda akasepa,
Paparazzi akaenda kuwauliza kama wanamjua wakasema some guy tu.
Wanaweza wakawa wanawajua wakiwa kwenye movies ila ile live unakuta kwanza wanabadilika pili mtu anakua hana ile clue kama anaweza kukutana nae by any chance.
Huo umeme sasa ghaiiHiyo ni jumla ya vyumba vyote. Kuna vya kulala mfano hapo vimetajwa vya kulala 12. Kuna kumbi za kupumzika, sinema, michezo kama pooltable, ofisi, studio nk
Ya duniani dunianiKumbe akifa haendi mbinguni anabaki hapo hapo
Anaendeleaje sahvi maana mbona kama anadataHahahaha hiyo hutokea niliona pia ya Justin Bieber amekaa na wale homeless wanapiga story hata hawamjui alivyoondoka akawaachia vibunda akasepa,
Paparazzi akaenda kuwauliza kama wanamjua wakasema some guy tu.
Wanaweza wakawa wanawajua wakiwa kwenye movies ila ile live unakuta kwanza wanabadilika pili mtu anakua hana ile clue kama anaweza kukutana nae by any chance.
Imagine huna hili wala lile unamuona Lupita pale Msimbazi kariakoo anachagua chagua kacha za Wamasai[emoji3] lazima ujiulize ni yeye au nimemfananisha maana hujadhania kumuona maeneo hayo, ila ungemuona Znz kwenye Sauti za Busara ungemjua kwa haraka isingekusumbua kulingana na mazingiraNi kweli ila inachekesha sana unaweza muona lupita ukasema sijui yeye kweli au wanafanana [emoji23][emoji23][emoji23] unahisi kumuona mtu kwa tv na ujalisia wanakuwa tofauti eti
Amedata kweli na amecancel World tour yake,Anaendeleaje sahvi maana mbona kama anadata
Ova
Imagine huna hili wala lile unamuona Lupita pale Msimbazi kariakoo anachagua chagua kacha za Wamasai[emoji3] lazima ujiulize ni yeye au nimemfananisha maana hujadhania kumuona maeneo hayo, ila ungemuona Znz kwenye Sauti za Busara ungemjua kwa haraka isingekusumbua kulingana na mazingira
alienda kutafuta mganga wa kumsafisha nyota😀😀😀😀Alikuwa ana issue gani huko Malawi vijijini?
Ana matatizo gani hajapona uso wake?watu wana maisha mazuri wana pesa na ni maarufu lakin eti bado wana shida tu kazi kweliAmedata kweli na amecancel World tour yake,
Juzi kati akiwa na mkewe wanaenda kwenye mgahawa akawa anawafokea paparazzi kwa kuwapiga picha kama haitoshi akawaonesha middle finger 🥲
Ukiusikiliza wimbo wake Lonely utajua the boy amekua hayuko sawa siku nyingi
kuna shutma alipata kuwa sekunde moja wazungu washakuja na hawezi kurudia tena, yani kimoko chali.Ana matatizo gani hajapona uso wake?watu wana maisha mazuri wana pesa na ni maarufu lakin eti bado wana shida tu kazi kweli
Halaf kwanin hawazai na mkewe?