Rick Ross atumia Tsh. Bilioni 11 kubadili Sakafu ya Jumba lake

Rick Ross atumia Tsh. Bilioni 11 kubadili Sakafu ya Jumba lake

Yeye kasema jamaa KWA sasa ayupo sawa hata kwenye wimbo wake wa lonely ndo nikamwambia huo wimbo anazungumzia career yake mwanzoni kabisa na hazungumzii maisha yake ya sasa
Yeye nani sasa wakati ni mimi, kwani watu mbona kama mmevurugwa sana ni hili jua kali au? [emoji3]
Umewekewa lyrics hapo chukua kamusi ya English to Kiswahili labda unaweza ukapata mwanga.

Na hujui amesema kua amecancel tour yake ya dunia sababu ya tatizo la afya ya akili?
 
Hilo sakata sijui ilikuwaje kyle na selena na hailey?
Selena alipost video akisema amefanya kazi kuzitengeneza nyusi zake maana ni chache, dakika chache baadae Kyle akapost screenshot aki face time na Hailey na hiyo picha inaonesha wamejizoom nyusi zao yaan kumchokoza Selena kua wao hawatumii nguvu kutengeneza nyusi wanazo nyingi,

Fans wakacharuka na kuanza kuwatukana kwa uchokozi wao wakaenda mbali zaidi na kuanza kum unfollow Kyle tiktok hadi Insta, kama huko insta Kyle kapoteza followers milion moja,

Lakini Kyle amesema hajafanya lolote na hana bifu na Selena kilichotokea ni coincidence tu sababu hakuiona post ya Selena ya nyusi, na Selena amesema hata yeye yupo cool ila ametangaza kujipa break kwenye Mitandao yote ya kijamii.
 
Selena alipost video akisema amefanya kazi kuzitengeneza nyusi zake maana ni chache, dakika chache baadae Kyle akapost screenshot aki face time na Hailey na hiyo picha inaonesha wamejizoom nyusi zao yaan kumchokoza Selena kua wao hawatumii nguvu kutengeneza nyusi wanazo nyingi,

Fans wakacharuka na kuanza kuwatukana kwa uchokozi wao wakaenda mbali zaidi na kuanza kum unfollow Kyle tiktok hadi Insta, kama huko insta Kyle kapoteza followers milion moja,

Lakini Kyle amesema hajafanya lolote na hana bifu na Selena kilichotokea ni coincidence tu sababu hakuiona post ya Selena ya nyusi, na Selena amesema hata yeye yupo cool ila ametangaza kujipa break kwenye Mitandao yote ya kijamii.

Niliona selena anasema anapumzika na insta ,fans hawataki mchezooo
 
haijalishi hata ukiwa 1 sec man. Kikubwa ufike mshindo na uingie kwenye takwimu ya kumlala muhusika.
Akihesabu kapitiwa na wangapi haangalii waliotumia muda gani kukojoa bali waliochomeka mzigo tunduni.
hili nalo neno, cha msingi mwnawane umepata fursa ya kuzama tunduni
 
RICH 4EVER

Indeed
IMG_2047.jpg
 
Yule binti wa kitz alihojiwa akaanza kusifia huyu dubwana kumjua madam presidaa mara atakuja kuwekeza, ndipo nilipojua celebrities wetu wana upungufu mkubwa sana wa shule na vichwani akili hawana
 
Back
Top Bottom