Rick Ross Featuring Jay-Z & John Legend-FREEMASON

Rick Ross Featuring Jay-Z & John Legend-FREEMASON

"...Matusi ya kazi gani? Kulikuwa na ulazima upi kuni quote?then unatumia lugha ya Matusi, we unadhani mi siwezi kukujibu tusi kubwa kuliko hayo? Next time pita kimya kimya , you're a man , ji position "
Acha upuuzi
 
rick alipotea sana,umaarufu ni kazi pia imani ya kweli ni uislamu tu..ukiangalia wakristo magdalena wamemtoa kweny vitab vyao wkt ni mjumbe pia.
 
"All white mansion, i'm the child of God.
All black diamonds, time were hard.
New Rolls Royce guess you made it nigga

All-white neighborhood, you they favourite nigga"

Kwenye Spirituality kuna Vitu viwili vikubwa kuna White Magician na Black magician au kwa lugha Rahisi wanasema Black lodge na White Lodge..

Black lodge ni wale wanaotumia Maarifa wanayopta kwa kuumiza wenzio humo utakuta kuna wachawi na watu wengine kama secret societies nyingi "Ku klux klan na Templar na wengine kibao ambao wanafanya uovu kutokana na kujua Siri za vitu wakisema wanavilinda au kutaka watu wasivijue..

Sasa inavyoonekana Rick rose aliangukia kwenye Illumination ya Black magician..
Na hapo anawataarifu watu wa white lodge kwamba amerudi kwenye wema..

Kwa kusema "all white mansion,I am the child of God' badala ya kusema all white lodge akatumia white mansion..

Sasa anarudi tena kuwaambia wale Black magic ama black lodge kuwa "All black Diamond Time were hard"

Anawaambia black lodge kuwa pamoja na kuwa kulikuwa na furaha na utajiri mambo yalikuwa magumu kwa upande wake..

Ndo hiyo all black diamond time were hard...

sasa anawageukia wale waliobaki Anawaambia "New Rolls Royce guess you made it nigga?"

Kwamba umepata Rolls royce ndo unafikiri maisha umeyapatia?
Diamond yuko kwenye Black Lodge na rolls royce yake
 
Back
Top Bottom