Rick Ross yuko makini sana na afya yake

Umtoe demu bongo hadi dubai halafu unavisha salama.
Watu makini hupima afya kabla ya tendo sio kutumia salama.
Salama mara nyingi tu zinapasika.
 
Hapa ameula wa chuya kwa ulimbukeni wake,wakiachana hata haya madanga yake ya hapa yatampiga chini
Jamaa anajidai anatumia ndomu, wajanja wanazibeba kama anaenda ukitupa yale nani anajifurumushia Kwame anapata mimba alafu kwa kuwa wameishamwona Nate HM kama kawa anataka child support kutoka marekani
 
Kwahiyo ndio anawaonyeshea kuwa ndio anayotumia kwa misa? wacha mbongo ampelekee ngoma asipokuwa makini.
 
Tangazo hilo
 
Sifa ya magnum ni Kwa kina mandingo.. Kiba zinapwaya.. Sasa Kwa kitambi cha huyo afisa magereza kweli eh..

Bhas Sawa.
 
Itakuwa alivyokuwa mjela jela alikuwa anaona dealers wanavyokula good times.. Walizokuwa wanamfinyia ili kumtuma tuma.. Alivyolinganisha na salary yake akaona sio kweli...

Though Kuna mitaa hawamkubali wanamuona snitch bado.
Kwamba bado wanamchukulia kama spy ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hiyo picha ya zamani
Mmepigwa Na kitu kizito kichwan
 

Ni maisha yake hamisa anapnga yeye aishi vipi sio wanatakaje
 
Kwamba bado wanamchukulia kama spy ?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ni nature tu ya kazi yake ya awali. Kama sio au ndio ni ngumu kuaminika Kwa baadhi ya watu kulingana na itikadi zao.

Ni kama vile kuchukia somo la hisabati na walimu wa hisabati kisa mwalimu wako alikuwa anakutandika sana. Huwezi kumkubali ticha mwingine hata kama yuko peace. Utachukulia wote ni wale wale.

Once a soldier always a soldier. Huyo akitaitishwa lazima arudi kwenye misingi ya kazi yake tu.
 
Mwamba kajiandaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…