and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Hv mnaoma Jay Z ndo wa malapulapu?Akitoka kwa Rick Ross anaenda kwa Jay Z, Beyonce ajipange
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hv mnaoma Jay Z ndo wa malapulapu?Akitoka kwa Rick Ross anaenda kwa Jay Z, Beyonce ajipange
Ila sasa hivi amevunja bei maskini aiseeUmeona eeh?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]E bhana una undugu na yule P Diddy wa JF nini au ndio wewe?
Hv mnaoma Jay Z ndo wa malapulapu?
Kagundua kuwa lile chaka jipya si la kuingia peku pekuRapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
Wewe acha kuwa boya mapicha ya zamani hayo.Trump amewahi sema sisi waafrika jambokubwa tunaloweza kubokoana, kuchora kwenye kuta ....mengineyo magumu kwelikwetu....dada kadharauliwa Sana kondom zinaonesha rockrose angekosa kabisa mademu amerika
Hivi na penyewe ni hivo eeeh nlisikia sikua habari za mwenzie tu132KVA ya H20_ZO 4SHIZO kwenda kwa Mabeto ni SHida bila Protective Gear Rozay hatoboi.
Wewe ndoboya hata nilichosema Trump alisema zamani sio janaWewe acha kuwa boya mapicha ya zamani hayo.
Baki hivyohivyo na uzazwazwa mtoto wa kiume kuona gere dada ako akiliwa.Wewe ndoboya hata nilichosema Trump alisema zamani sio jana
pole Sana shida yakusubili msosi wa mama nyumbani hapo ludovicBaki hivyohivyo na uzazwazwa mtoto wa kiume kuona gere dada ako akiliwa.
Good point.Huwezi kuwa mjanja bila kuwa mjinga, wala huwezi kuwa msafi bila kuwa mchafu.. tumpeni muda kidogo atatufaa sana kutuelimishia mabinti zetu miaka ya mbeleni.
Child support kama hajazalia huyo mtoto USA atapata pesa ya kawaida tu sheria za Tz hakuna msisitizo sana kwenye kuwabana wanaumeJamaa anajidai anatumia ndomu, wajanja wanazibeba kama anaenda ukitupa yale nani anajifurumushia Kwame anapata mimba alafu kwa kuwa wameishamwona Nate HM kama kawa anataka child support kutoka marekani
Wacha aendelee na minyororo yake kama harmorapaHii chain ya Rich Forever ingempendeza CEO wa WCB.
@lamisa danish umeona wapi chui wakifugika kirahisi?Hamisaaa..sasa kulikuwa na haja or ulazima gani wa kujianika hadharani kuwa ametoka na Rick Ross?
Anafikiri ndio ataongeza umaarufu?au ndio kujitangaza kimataifa?au ndio kutafuta kuolewa USA?
Yule kijana wa watu wa Vunja bei mbona alikuwa chaguo sahihi kabisa kwake,ukizingatia ameshazalishwa Mara mbili Majizzo na Chibu.
Ukipata mwanaume anaekubali kubeba mizigo ya wanaume wenzie ni wa kumng'ang'ania kama kupe.
Amemuacha kijana wa watu anaenda kudanga na mijitu isiyoeleweka,hivi hajui kuwa umri unakimbia kama yule mwanariadha wa Kenya kipchoege??
Ni kweli sio umemshauri mobeto hata mimi pia,umenishauri asanteeHamisaaa..sasa kulikuwa na haja or ulazima gani wa kujianika hadharani kuwa ametoka na Rick Ross?
Anafikiri ndio ataongeza umaarufu?au ndio kujitangaza kimataifa?au ndio kutafuta kuolewa USA?
Yule kijana wa watu wa Vunja bei mbona alikuwa chaguo sahihi kabisa kwake,ukizingatia ameshazalishwa Mara mbili Majizzo na Chibu.
Ukipata mwanaume anaekubali kubeba mizigo ya wanaume wenzie ni wa kumng'ang'ania kama kupe.
Amemuacha kijana wa watu anaenda kudanga na mijitu isiyoeleweka,hivi hajui kuwa umri unakimbia kama yule mwanariadha wa Kenya kipchoege??
Kweli wanawake hampendaniRapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
Sio kwamba Rick anajali afya bali yupo kibiashara.Rapa Rick Ross ni mtu makini sana inapokuja swala la afya yake.
Rick Ross sio mtu wa kuvamia machaka ya ajabu ajabu bila tahadhari kubwa na kinga.
Rick ni mtu anajua kwamba sio kila machaka unayaongia ingia tu kienyeji, utakutana na miba, wanyama wakali, manyoka makali ama hata kuliwa na chatu.
View attachment 2024415
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii chain ya Rich Forever ingempendeza CEO wa WCB.