Rick Ross yuko makini sana na afya yake

132KVA ya H20_ZO 4SHIZO kwenda kwa Mabeto ni SHida bila Protective Gear Rozay hatoboi.
 
Trump amewahi sema sisi waafrika jambokubwa tunaloweza kubokoana, kuchora kwenye kuta ....mengineyo magumu kwelikwetu....dada kadharauliwa Sana kondom zinaonesha rockrose angekosa kabisa mademu amerika
 
Kagundua kuwa lile chaka jipya si la kuingia peku peku
 
Trump amewahi sema sisi waafrika jambokubwa tunaloweza kubokoana, kuchora kwenye kuta ....mengineyo magumu kwelikwetu....dada kadharauliwa Sana kondom zinaonesha rockrose angekosa kabisa mademu amerika
Wewe acha kuwa boya mapicha ya zamani hayo.
 
Jamaa anajidai anatumia ndomu, wajanja wanazibeba kama anaenda ukitupa yale nani anajifurumushia Kwame anapata mimba alafu kwa kuwa wameishamwona Nate HM kama kawa anataka child support kutoka marekani
Child support kama hajazalia huyo mtoto USA atapata pesa ya kawaida tu sheria za Tz hakuna msisitizo sana kwenye kuwabana wanaume
 
@lamisa danish umeona wapi chui wakifugika kirahisi?
Vunja bei amuoe Hamisa?
Kwa kifupi sana, wanaume wanapenda kutoka na malaya wakali lakini huoa wanawake wa kawaida.
Kaa ukijua kuwa ukijua kuwa kuna wanawake wa matumizi na wa kuweka ndani.
Hamisa bado ataitembeza sana huko duniani
 
Ni kweli sio umemshauri mobeto hata mimi pia,umenishauri asantee
 
Kweli wanawake hampendani
 
Sio kwamba Rick anajali afya bali yupo kibiashara.
Hilo ni tangazo la condom kwa kampuni husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…