Hoja nyingine za hovyo kabisa !umewahi kuona wapi kudaiwa na benki ni dhambi?!! Au mwanasiasa haruhisiwi kuwa na biahara/investments?!
Hao akina Mbowe ,Mdee na Ridhiwani wangekuwa wame-default masharti ya mkopo mara baada ya benki hiyo kuchukuliwa na benki kuu Mali zilizowekwa dhamana kwa mikopo ya watu hao zingeshapigwa mnada.Sasa iweje wewe uje hapa ukishadadie eti wanadaiwa Mara eti ndio wameifilisi twiga..huu ni upuuzi ulipitiliza
Hao akina Mbowe ,Mdee na Ridhiwani wangekuwa wame-default masharti ya mkopo mara baada ya benki hiyo kuchukuliwa na benki kuu Mali zilizowekwa dhamana kwa mikopo ya watu hao zingeshapigwa mnada.Sasa iweje wewe uje hapa ukishadadie eti wanadaiwa Mara eti ndio wameifilisi twiga..huu ni upuuzi ulipitiliza