Sikua namjibu mleta mada kwenye andiko langu, nilikua namjibu niliemnukuu hapo juu ambae aliuliza swali. Hato meengine unaleta wewe. Usipende kudakia mambo. Soma post ya niliyomnukuu niliemjibu.he hivi wewe umesoma mleta mada alivyoandika au unakurupouka//// umesomalakini waliochukua mikopo.umesoam lakini ni kiasi gani. unajualakini ni lini wamechukua. yaani hii nchi sasa unamlaani aliyeibua. hivi kweli akiliikosawakweli. au wewe ndio mkopaji nini. kama ndio basi mtaweweseka sana .mh magufuli hana mcheo wala urafiki na mtu lipeni nchi isonge mbele.
Wadai hawajawahi kuwa wahujumu uchumi!Kumbe ndio maana niliona akimsifia Lowassa maji yamefika shingoni?.....
Kweli kama Magufuli atawashugulia hawa ndio mafisadi sasa Wa nchi hii sio wakuchekea hata kidogo.
Magufuli washugulikie kweli kweli hawa ndio tatizo la nchi hii.....
shigongo alipewa maji ya kunywa na mama meghji apunguze uchungu,hivi jamani uchungu wa hela unapozwa kwa maji ya kilimanjaro?
Miongoni mwa wakopaji ni Mwenyekiti wa Chadema na Mwenyekiti wa Bawacha.duh!
hii benki inakopesha wana ccm,inajiamini nini?
WEWE HUELEWEKI,MARA JPM SAFI,MARA JPM HAFAI WE VIPI BANA?Kumbe ndio maana niliona akimsifia Lowassa maji yamefika shingoni?.....
Kweli kama Magufuli atawashugulia hawa ndio mafisadi sasa Wa nchi hii sio wakuchekea hata kidogo.
Magufuli washugulikie kweli kweli hawa ndio tatizo la nchi hii.....
PointKudaiwa na benki su tatizo; tatizo kutokuwa mrejeshaji.
Yan hapo sio wasiwasi ni aslimia zoteMimi nina wasiwasi hata ile pesa ya kampeni kumnadi mtukufu akiwa na wakata viuno stejini ilikopwa huku!
Aisee nimeipenda hii. Kweli binadamu sisi ni wachochezi.Si mlimwita Ridhiwani tajiri na kila jengo zuri nchi hii ni lake.. Si mlisema Ridhiwani ni Trillionea??
Si mlisema JK na Family walikuwa wanajichotea tu pesa kule Hazina?? Sasa kama walikuwa wanachota pesa tu ilikuwaje Ridhiwani akope benki ya biashara na ashindwe kulipa? Hapa ndipo tunaona wanasiasa walivyo wanafki na waongo..
Hapi ndipo unatakiwa ujue kuwa Ridhwani ni mtu wa kawaida kabisa na hivyo umma ulivyokuwa ukiaminishwa hapo kabla.HII NI DHARAU KUBWA KWA WATZ......HV KWELI MTU KAMA RIDHIWANI, NI WA KUSHINDWA KULIPA DENI?????? VP KAMA ANGESHINDA BERNARD MEMBE, HAYA MAMBO TUNGEYAJUA???? AMA KWELI "BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA"
U'r matured.Zamani nilikuwa shabiki Mkubwa wa habari za mabaya ya wenzangu lkn kwa kadri siku zinavyokwenda najilaumu kushabikia matatizo ya wenzangu..nimekoma kabisa maana hatuelewi tunapopelekwa.