Ridhiwani asisitiza Wizara ya Ardhi inafanya kazi kubwa ya kupima na kupanga ardhi kwa matumizi bora, hati 8 zakabidhiwa Tanganyika

BWANKU M BWANKU

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
377
Reaction score
435
RIDHIWANI ASISITIZA WIZARA YA ARDHI INAFANYA KAZI KUBWA YA KUPIMA NA KUPANGA ARDHI KWA MATUMIZI BORA, HATI 8 ZAKABIDHIWA TANGANYIKA.

Wilaya ya Tanganyika, Mkoa wa Katavi.

Salamu za Mhe. Ridhiwani Kikwete (Mb)- Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa Wananchi wa Kijiji cha Katuma Wilayani Tanganyika wakati wa ziara ya Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango-Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mkoani Katavi.

#KaziIendelee
#SSH.


Your browser is not able to display this video.
 
Kalamu zote hizo mfukoni za nini? Swagger zingine bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…