Ridhiwani Kikwete anaandaliwa Urais 2030?

Ridhiwani Kikwete anaandaliwa Urais 2030?

Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Kuna mtu wa system aliwahi niambia ili mambo yawe sawa Tanzania.....JK apumzishwe period......
 
Kwa Chama Pendwa inawezekana! Nchi ni yao, NEC ni yao, jeshi ni lao, polsi ni wa kwao!
Visiwani imewezekana mara mbili, hata huku Bara inawezekana! 2040 atatoka familia ya BWM kutoka Lupaso, 2050 atakuwa Joseph kutoka Chato, 2060 atakuwa Abdul.
Umuhimu ni kuwa na Amani tu hayo mengine tumwachie Mungu.
 
Rizi Rais , ananiteua mnikulu mkuu , mambo safi ..tena Riz anashinda mapema tu ..maana km mzee wake alikuwa na timu ya wanamtandao

Sipati picha mtu mfupi timu yake ya kumpeleka ikulu itakuaje
 
We unashangaa nini, CCM hata ikitaka tumbili iongoze hii nchi itaongoza, na wa Tanzania walivyo wanafiki watasema kwenye mitandao tumbili inaupiga mwingi imeleta maji na umeme, wengine watakuwa wanalalama kwa nini waongozwe na tumbili na si binadamu, malalamiko yataishia kwenye social medias na ku post vi memes baadae wanasahau.. Mi hata sishangai.
Huu ni ukweli mchungu
 
Huyo ni ngumu kuwa rais japo genge la wauza madawa ya kulevya wa dunia wanatamani sana wafanikishe jambo hilo la kumweka madarakani mtu wao maana anamikataba ya damu na wauza ngada wa dunia...wauza ngada wa dunia wanataka kutengeneza tena tanzania iwe heaven peace ya biashara ya madawa ya kulevya.
Kwa hiyo na sisi tutakuwa na "Noriega" wetu. Labda USA watatusaidia kumtoa.
 
Yaani unataka kusema mpaka hiyo 2030 bado tu Watanganyika tutakuwa hatuna tofauti na wanyama aina ya ng'ombe na kondoo; na hivyo kuendelea tu kutawaliwa Kisultani, chini ya mwamvuli wa hiki kikundi haram kwa jina ccm!!

Mimi naamini mpaka kufikia wakati huo, watoto wetu wataingia msituni, na pia mtaani kupambana dhidi ya hawa wahuni.
Sasa unadhani sultan mbowe na usultani wake wa kiti cha chadema anayo akili yoyote ya kutuvusha huko ...kitu pekee tunacho tegemea kwa sasa ni kifo na mvulugano wa wao kwa wao ndani ya ccm
 
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
 
Wana JF, hizi taarifa nimezipata kwa mtu mkubwa sana ndani ya TISS na ambaye amewahi kuwa kigogo wa idara hiyo.

Ameniambia Mzee Jakaya Kikwete ndiye yuko nyuma ya Mpango huu na sehemu kubwa ya vigogo ndani na nje ya idara. Moja ya mkakati ulifanikiwa ni kuhakikisha baada ya sheria ilikuwa asomee Masters ya International Relation na kweli tayari amehitimu ili msije kusema haijui Dunia.

Lakini pili nimeambiwa Ulinzi wa Ridhiwan Kikwete ni tofauti na mawaziri wenzake wote. Tayari amezungukwa muda wote na suti nyeusi wawili muda wote kuhakikisha nyendo zake zinakuwa salama. Rais Samia Suluhu Hassan naye anaujua Mpango huu.

Hatua ya tatu ni kuwapoteza watu maboya kwa kumhusisha na kumtaja January Makamba kama mgombea Urais 2030 lakini nia ni Makamba kumficha asionekane lakini mwisho yeye January Makamba atakuja kuwa Waziri Mkuu wa Ridhiwan Kikwete. Nguvu nyingine ni kutoka kwa Rais mstaafu wa Kenya Uhuru Kenyatta naye anasaidia mpango kwa Hali na Mali.

Baadhi ya mawaziri wanaojua mpango huu ni pamoja na Jenister Mhagama na Hussein Bashe ambao tayari wameanza "kujisogeza" kwa dogo kwa matumaini ya baadaye.
Ridhiwan anafaa sanaa
 
Back
Top Bottom