Chukua cha maana tu
Member
- May 7, 2013
- 49
- 10
Mbunge wa Chalinze kupitia chama cha mapinduzi Ridhiwani Kikwete ametoa kauli zinazooneshwa wazi kutothamini wala kujali michango inayofanywa na vyombo vya habari nchini.
Alipokuwa akiwahutubia wanafunzi wana CCM wanaohitimu vyuo vikuu na vya kati katika bwalo la Umwema morogoro, alianza kwa kusema ''nipisheni hapo sikuja kuzungumza na nyie nimekuja kuongea na wana vyuo''
Pia katikati ya hotuba yake akasema namnukuu''wakati tunalipokuwa tunaelekea kujadili bajeti ya wizara ya nishati na madini wizara ambayo imefanya mambo mazuri kwa nchi hii cha ajabu magazeti yakaandika waziri Muhongo kikaangoni, kwa lipi?
Ndiyo aina ya magazeti tuliyonayo CCM hoyee'' Kisha akaendelea kuwashambulia waandishi wa habari''magazeti haya yanaandika andika tu hadi mimi mwenyewe nashindwa kuelewa, juzi tulipokuwa tunajadili wizara ya habari makelele yakaanza tunataka mjandala, tunataka waandishi walio huru mimi nikawa najisemea moyoni tukileta huo mswaada kesho waandishi wa habari hawatalia kwa sababu asilimia kubwa ya waandishi tulionao ni makanjanja wanapokaa katika meza zao wanaandika andika tu vitu yaani mtu anapikapika tu vitu''
NINA HARAKA KIDOGO NAMUWAHI KUMSIKILIZA MWIGURU ANAMKUTANO MUDAA HUU.
VIDEO KESHO TUVUMILIANE MAJUKUMU NI MENGI ILA TUHESHIMU KAZI ZA WENGINE HATA KAMA SISI MAISHAYETU NI MAZURI HADI KUFA .
UKISHIBA USIMZALAU MWENYE NJAA MAANA HAKUNA AJUAE KESHO ITAKUWAJE.
ASANTE KWA MUDA WAKO
Alipokuwa akiwahutubia wanafunzi wana CCM wanaohitimu vyuo vikuu na vya kati katika bwalo la Umwema morogoro, alianza kwa kusema ''nipisheni hapo sikuja kuzungumza na nyie nimekuja kuongea na wana vyuo''
Pia katikati ya hotuba yake akasema namnukuu''wakati tunalipokuwa tunaelekea kujadili bajeti ya wizara ya nishati na madini wizara ambayo imefanya mambo mazuri kwa nchi hii cha ajabu magazeti yakaandika waziri Muhongo kikaangoni, kwa lipi?
Ndiyo aina ya magazeti tuliyonayo CCM hoyee'' Kisha akaendelea kuwashambulia waandishi wa habari''magazeti haya yanaandika andika tu hadi mimi mwenyewe nashindwa kuelewa, juzi tulipokuwa tunajadili wizara ya habari makelele yakaanza tunataka mjandala, tunataka waandishi walio huru mimi nikawa najisemea moyoni tukileta huo mswaada kesho waandishi wa habari hawatalia kwa sababu asilimia kubwa ya waandishi tulionao ni makanjanja wanapokaa katika meza zao wanaandika andika tu vitu yaani mtu anapikapika tu vitu''
NINA HARAKA KIDOGO NAMUWAHI KUMSIKILIZA MWIGURU ANAMKUTANO MUDAA HUU.
VIDEO KESHO TUVUMILIANE MAJUKUMU NI MENGI ILA TUHESHIMU KAZI ZA WENGINE HATA KAMA SISI MAISHAYETU NI MAZURI HADI KUFA .
UKISHIBA USIMZALAU MWENYE NJAA MAANA HAKUNA AJUAE KESHO ITAKUWAJE.
ASANTE KWA MUDA WAKO