Ridhiwani Kikwete hastahili kuwa kiongozi?

Ridhiwani Kikwete hastahili kuwa kiongozi?

Yohimbine

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2019
Posts
873
Reaction score
1,841
Habari za mihangaiko wanabodi.

Wiki iliyopita mheshimiwa Rais alifanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri ambapo katika uteuzi huo tumeona watu mbalimbali wakitenguliwa na wengine wakipewa nafasi lakini kubwa kuliko lililozua mjadala ni swala la uteuzi wa Ridhiwani kikwete ambaye amepata nafasi ya Unaibu waziri, wengi wameuponda uteuzi huu kwa sababu mbalimbali lakini hoja ya wengi ni Ridhiwani kuwa mtoto wa mstaafu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwenye hii nchi lakini ukiangalia hata Rais wa Zanzibar Hussein mMwinyi ni mtoto wa mstaafu na wakati akiwa Waziri wa Afya na wa ulinzi alijatahidi kwa namna yake kama kiongozi kwani wengi husema Vinasaba vya uongozi hufatwa Mfano Bush family ,Kenyatta Family na Clinton Family .

Ukiondoa hayo wengine wanakuja na hoja kwamba ni Mchafu hana usafi lakini zote ni shutuma tu ambazo hazijathibitishwa.

Kwangu mimi naona apewe nafasi tumjudge kwa Matokeo atakayoyaleta kwenye Wizara na siyo kwa shutuma.
 
Kwani na Watanzania wengine hawastahili kuwa viongozi kiasi cha kuendelea kutawaliwa na watu wale wale miaka nenda?
Hata kama wana sifa hawapaswi kuteuliwabsababu ndugu zao washawai kuwa viongozi?
 
Hata kama wana sifa hawapaswi kuteuliwabsababu ndugu zao washawai kuwa viongozi?
Huu ni upendeleo tu na kujuana! Lakini pia njia mojawapo ya kulipana fadhila. Kwanza ifikie wakati Uwaziri/ uspika usitokane na Ubunge ili kuimarisha utawala bora kwenye serikali.
 
Huu ni upendeleo tu na kujuana. Kwanza ifikie wakati Uwaziri/ uspika usitokane na Ubunge ili kuimarisha utawala bora kwenye serikali.
Hio ni sifa tu kiongozi yani kama vile ili ugombee Simba unapaswa kuwa mwanachama wa simba ndo maana raisi akiona Mtu ana sifa na siyo mbunge anampa ubunge na uwaziri rejea Mama Tax ,Kabudi na ndalichako enzi za Magufuli
 
Bush mtoto hakuteuliwa na baba yake kuwa kiongozi, Alipigiwa kura kuwa gavana wa Texas na baadaye alipigiwa kura na Wamarekani kuanzia kwenye chama chake hadi nchi kuwa Rais.
 
Habari za mihangaiko wanabodi.

Wiki iliyopita mheshimiwa Rais alifanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri ambapo katika uteuzi huo tumeona watu mbalimbali wakitenguliwa na wengine wakipewa nafasi lakini kubwa kuliko lililozua mjadala ni swala la uteuzi wa Ridhiwani kikwete ambaye amepata nafasi ya Unaibu waziri, wengi wameuponda uteuzi huu kwa sababu mbalimbali lakini hoja ya wengi ni Ridhiwani kuwa mtoto wa mstaafu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwenye hii nchi lakini ukiangalia hata Rais wa Zanzibar Hussein mMwinyi ni mtoto wa mstaafu na wakati akiwa Waziri wa Afya na wa ulinzi alijatahidi kwa namna yake kama kiongozi kwani wengi husema Vinasaba vya uongozi hufatwa Mfano Bush family ,Kenyatta Family na Clinton Family .

Ukiondoa hayo wengine wanakuja na hoja kwamba ni Mchafu hana usafi lakini zote ni shutuma tu ambazo hazijathibitishwa.

Kwangu mimi naona apewe nafasi tumjudge kwa Matokeo atakayoyaleta kwenye Wizara na siyo kwa shutuma.
Tena aje awe raisi kabisa
 
Kuna vinasaba ukiviangalia unasema Eee walaaa ila kama ni hivi vya msoga bora wakae navyo hatuvitaki
 
Huenda alishajirekebisha kwa yaliyosemwa miaka ilopita, hivyo kwa nafasi alopewa sasa atalitumikia taifa kikamilifu na kwa uadilifu
 
Habari za mihangaiko wanabodi.

Wiki iliyopita mheshimiwa Rais alifanya mabadiliko katika baraza lake la mawaziri ambapo katika uteuzi huo tumeona watu mbalimbali wakitenguliwa na wengine wakipewa nafasi lakini kubwa kuliko lililozua mjadala ni swala la uteuzi wa Ridhiwani kikwete ambaye amepata nafasi ya Unaibu waziri, wengi wameuponda uteuzi huu kwa sababu mbalimbali lakini hoja ya wengi ni Ridhiwani kuwa mtoto wa mstaafu hivyo hastahili kuwa kiongozi kwenye hii nchi lakini ukiangalia hata Rais wa Zanzibar Hussein mMwinyi ni mtoto wa mstaafu na wakati akiwa Waziri wa Afya na wa ulinzi alijatahidi kwa namna yake kama kiongozi kwani wengi husema Vinasaba vya uongozi hufatwa Mfano Bush family ,Kenyatta Family na Clinton Family .

Ukiondoa hayo wengine wanakuja na hoja kwamba ni Mchafu hana usafi lakini zote ni shutuma tu ambazo hazijathibitishwa.

Kwangu mimi naona apewe nafasi tumjudge kwa Matokeo atakayoyaleta kwenye Wizara na siyo kwa shutuma.
Husein Mwinyi na ndugu zake walilelewa vizuri kwani hata siku moja hawakuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya!!
Hawa wengine mnaowataja na kujaribu kuwasafisha kwa kuwapa vyeo lakini mbele ya jamii wamekwisha chafuka kwa kujihusisha na NGADA!
Mtahangaika sana kuwasafisha lakini ni wachafu ,kuwapa uwaziri kustasaidia wazazi wao wakiwepo tu!
 
Husein Mwinyi na ndugu zake walilelewa vizuri kwani hata siku moja hawakuhusishwa na biashara ya madawa ya kulevya!!
Hawa wengine mnaowataja wana jaribu kuwasafisha kwa kuwapa vyeo lakini mbele ya jamii wamekwisha chakula kwa kujihusisha na NGADA!
Tupe ushahidi wa Ridhiwani kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
 
Ridhiwani anafaa, apewe Uwaziri kabisa na baadaye Urais.

Tatizo ni Makamba, hana chochote kabisa yet amepewa Wizara inayogusa maisha ya Watanzania moja kwa moja.
 
We
Tupe ushahidi wa Ridhiwani kujihusisha na biashara ya dawa za kulevya
wewe huyo uliyemtaja Pengine ndio unajua kuwa anajihusisha na hiyo biashara na ndio maana una hangaika kumsafisha!
Mimi sikumtaja Lakini kama jamii ina amino hivyo pengine inatokana na washirika wake kwenye biashara zake! “ Show me your friends and I will tell you your character “.
 
Back
Top Bottom