Ridhiwani Kikwete hastahili kuwa kiongozi?

Ridhiwani Kikwete hastahili kuwa kiongozi?

Viongozi inabidi waandaliwe, hata kama watoto wa viongozi. Titizo kama mtoto huyu anatabia ambazo za kifisadi, bora akae pembeni. Hapa si kusema ni tuhuma tu. Watu uenda wanajuwa jinsi alivyo mfisadi ila utaanzia wapi! Tuhuma zinahitaji mwenze ubavu kuziibua, kuhusishwa na makampuni kibao kisiri si jambo bora, mara vituo vya mafuta, uingizaji bidhaa nchini ukiambatana na ukwepaji kodi, kusafirisha magogo nje bila kuwepo wa kuhoji, zote tuhuma ambazo ngumu kuthibitisha, ila zinazunguka hivyo si busara kumpa uongozi, hata ubunge hastahili, mwache aendeshe biashara zake. Kumpa madaraka ni kukuendeleza kutumia fursa kuendesha makampuni yake hata kwa njia haramu!
 
Walamba asali katika ubora wao.
Screenshot_2022-04-09-22-48-12-1.jpg
 
Mimi nauliza tu hivi kwa nini watoto wa Nyerere Na kawawa mbona hawapewi uwaziri?

Kama sifa ni ubunge Na degree wanazo pia mbona wao hatuwasikii Na baba zao wameitumikia nchi hii kwa damu Na siyo kwa jasho tu.
 
Ndiyo ashakuwa kiongozi
Maji hufata mkondo
Mzee
Kubali ukatae

Ova
 
Ndiyo ashakuwa kiongozi
Maji hufata mkondo
Mzee
Kubali ukatae

Ova
Naona ana kazi kubwa sana kufikia level ya baba yake..
Kikwete Sr ni kama ana nyota pia ya kupendwa sana na watu ht km akichemka..
Jr sijui..apambane lolote lawezekana
Na Baba amuogeshe hizo dawa za 'mpendwa',mpapa nk😄
 
Mkuu kwani wewe hutoshi!!?KWANINI usijifagilie mwenyewe!!?ina Maana umeshakata tamaa HADI uwe muimba pambio wa wenzio!!?
 
Swali langu ni hili, kwa mfano hiyo nafasi ingetangazwa ili wenye uwezo wajitokeze na wahojiwe hadharani (public vetting) kuuthibitishia umma uwezo wa wagombea, mambo yangekuwa je?
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Mimi nauliza tu hivi kwa nini watoto wa Nyerere Na kawawa mbona hawapewi uwaziri?

Kama sifa ni ubunge Na degree wanazo pia mbona wao hatuwasikii Na baba zao wameitumikia nchi hii kwa damu Na siyo kwa jasho tu.
Watoto wa Kawawa walibebwa sana kwenye ubunge na uDC! Vita nadhani ni bado Mbunge! Mwingine alikuwa DC Bagamoyo!
 
Hii kitu ndiyo inayo sababisha machafuko katika nchi. Haiwezekeni kikundi cha watu wachache kujimilikisha nchi vizazi na vizazi huku wakiishi maisha ya kifahari! Na wengine wakiachwa kuwa walipa kodi na tozo za kila aina.
Kumbuka hata Nyerere alikuwa mtoto wa chief, Abdalla Fundikira alikuwa mtoto wa chief, Adam Sapi Mkwawa familia ya kichifu, na wengine. Hata kwenye idara nako hivyo hivyo kuna chains za kufa mtu.

Cha msingi nasi tutafute jinsi ya kufanya penetration tuwepo au vizazi vyetu viwepo kwenye huo mfumo.
 
Bush mtoto hakuteuliwa na baba yake kuwa kiongozi, Alipigiwa kura kuwa gavana wa Texas na baadaye alipigiwa kura na Wamarekani kuanzia kwenye chama chake hadi nchi kuwa Rais.
Shida inaonesha kwa Ridhiwan tu, hata amkumbuki mtoto wa Pinda kipindi cha hayati Magufuli nae alikuwa kwenye baraza la mawaziri.
 
Swali langu ni hili, kwa mfano hiyo nafasi ingetangazwa ili wenye uwezo wajitokeze na wahojiwe hadharani (public vetting) kuuthibitishia umma uwezo wa wagombea, mambo yangekuwa je?
This is the brilliant idea, nadhani inafaa lipendemezwe kwenye katiba mpya(kama itakuwepo).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama baba yako ni mkulima/mwalimu/ injinia, sio kosa kufuata kazi yake, hata wewe hujazuiwa kugombea uupate uwaziri
 
Mkuu kwani wewe hutoshi!!?KWANINI usijifagilie mwenyewe!!?ina Maana umeshakata tamaa HADI uwe muimba pambio wa wenzio!!?
Unafurahisha mkuu ,kwenye uzi nimemuongelea Ridhiwani watu wamfanyie judgement kutokana na perfomance anayoleta na sio ridhiwani tu hata mtu yoyote ahukumiwe kwa matendo yake,unachotaka kusema wewe mtu yoyote mwenye vinasaba vya uongozi hapaswi kuwa kiongozi ? Je Mwingine akitokea akisema kama we ni masikini hupaswi kugombea nafasi yoyote serikalini sababu utakuwa mwizi kama wafanyavyo US kwa POTUS itakuwa sawa ?
 
Back
Top Bottom