Huwezi kuwa chawa halafu hapohapo uwe bingwaPunguza uchawa bingwa
Wewe unaishi nchi gani hiyo unayosema hakuna zama hizi? Mbona eako wengi sana tena wengine wapo kwenye ofisi za Umma kutumia computer ni mtihani kabisa!Hakuna watu wa hivyo zama hizi ,kwanza ilitakiwa watu wafanyie kwenye simu au laptop yake sehemu yeyote alipo
Labda wazee ila sio Vijana wa sasaWewe unaishi nchi gani hiyo unayosema hakuna zama hizi? Mbona eako wengi sana tena wengine wapo kwenye ofisi za Umma kutumia computer ni mtihani kabisa!
Narudia tena kusema kitu kile kile acha ulomolomo ,uliandika ujinga bila kufikiri ila hutaki kuona huu ukweli.Read btn the lines...
Acha kuwa among "wapumbavu"
Unamshobokea Mama Samia hata hatambui kama kuna kiumbe kama wewe kwenye huu ulimwengu.Wewe umeshaolewa?
Ulitaka nimshibokee mumeo au?Unamshobokea Mama Samia hata hatambui kama kuna kiumbe kama wewe kwenye huu ulimwengu.
Badirikeni vijana, Shobo waachie mabint.
Mnatia aibu.Ulitaka nimshibokee mumeo au?
Tunawatia nyie ππMnatia aibu.
Machoko kazi kubwa ni kusifia mitandaoni.Tunawatia nyie ππ
πππMachoko kazi kubwa ni kusifia mitandaoni.
Hasara kwa taifa hii.
Mheshimiwa, Kazi wangeenda kufanyaje? Au kujifunza huko huko.Sasa wale wasiojua hata kushika kasa wataganyaje?
Bwabwa tafuta kazi uwe busy uache kusifia binadamu wenzako mitandaoni, NI AIBU kwa waliokuzaa.πππ