ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Umekaa kichawa chawa.......au ww ndio rizmoko mwenyeweMungu akusimamie Ridhiwani Kikwete , akujalie uwe kiongozi bora zaidi mbeleni naona umerithi hekima za baba. Mmefanya jambo la heri sana
ππππππππππππππDuh! Nlijuaga ni mjuba sorry dada Poor Brain
Wewe una nini kwani πππππHuyu ni kaka kwani Poor Brain Ebu njoo
Hapa mnanichanganya sasaππππππππππππππ
Bana wee niwie radhi mkuu
ππππ
Naona mapema sana mkuu...Mungu ni mwema kaka!
Npo free Leo siku nzima ni mwendo wa misele tu..... tunaanzia kigamboniNaona mapema sana mkuu...
ππππ Leo tupo weeknd mkuu
πππππ Umekuja kukichafua huku
Unachanganya kitu gani mkuu ππππππHapa mnanichanganya sasa
Kigamboni mpaka wapi hiyo...Npo free Leo siku nzima ni mwendo wa misele tu..... tunaanzia kigamboni
Soma vizuri maelekezo, wameelzea wazi kabisaWasio na mitandao inakuwaje
Narudia tena kusema kitu kile kile acha ulomolomo ,uliandika ujinga bila kufikiri ila hutaki kuona huu ukweli.
Pengine unaishi Dodoma na hukuwahi kujua au kuona gharama za kusafiri kwenda Dodoma zilivyo kubwa na zaidi ni risk sana Kwa sababu gani? Ili kupunguza gharama kidogo za kukaa Dodoma ,wengi walikuwa wanasafiri siku moja kabla ya usaili kwenda Dodoma Kwa wanaotokea Dar es salaam au mikoa iliyo karibu na Dodoma ,hapo risk inakuja pale gari limeharibika njia na uwezekano wa kufika Dodoma siku hiyo ili awahi usaili siku inayofata ni mdogo sana na huyu mtu Kuna uwezekano akakosa usaili. Au umepata kazi tayari hivyo hujui madhila yanatowakumbuka na gharama wanazokutana nazo wasailiwa.
Ukiona Kila mtu anapongeza huo mfumo jua kapitia gharama zisizoelezeka ,wewe unapokuja na gharama za bando wenye akili wanaona unaleta vioja kwenye mambo ya msingi. Hata utumie bando la 20000 ni nafuu kuliko kwenda Dodoma.
Mimi nimejibu kulingana na ulichoandika na nimegundua jambo Moja kubwa uliandika uroporopo ambao huwezi kutetea Kwa hoja
Naingia kibada, geza mbali mzee mi naishiaga kibugumoKigamboni mpaka wapi hiyo...
Karibu huku geza ulole mkuu
πππππππππ
Asubuhi sana nlihudhuria , nmestuka nkakuitaπWewe una nini kwani πππππ
Jpili hii umeenda church lakini πππππππ
Jua kali mno...Asubuhi sana nlihudhuria , nmestuka nkakuitaπ
Sasa hapo usiseme kama umetembea mkuu...ππππNaingia kibada, geza mbali mzee mi naishiaga kibugumo
Hamna lolote happo. Ni mangapi yameanzishwa yakaishia hewani. Mafisadi wakanufaika TU?Duuuh yaaani hapo kutoboa ni 0.002 kabisaaaa
Nikisema mm naoneka wa hovyoHamna lolote happo. Ni mangapi yameanzishwa yakaishia hewani. Mafisadi wakanufaika TU?
Hamna kituuHamna lolote happo. Ni mangapi yameanzishwa yakaishia hewani. Mafisadi wakanufaika TU?
Nami nasubiri jibuNaomba mrejesho wakuu... kwa walohudhuria maswali yanakuwa kwa mtindo upi? Format ya maswali I mean