Ridhiwani Kikwete: Mifumo mitatu mipya ya utumishi itakavyosaidia kupima utendaji wa watumishi na kusaidia wananchi

Ridhiwani Kikwete: Mifumo mitatu mipya ya utumishi itakavyosaidia kupima utendaji wa watumishi na kusaidia wananchi

NI vyema wangeanza kujipima wao Kwanza ingekua Uzuri zaidi!!
Kipimo Bora kuliko vyote ni kuhoji wananchi kama afanyavyo Makonda

Wananchi wahojiwe Kila taasisi ya Serikali performance yake Kwa ujumla wanaionaje ki kitaifa,kimkoa ,kiwilaya ,kimtaa na eneo ipo

Internal assessment pekee haitoshi

Hayo madude mengi wameweka ni internal assessment wanajipima wao Kwa wao maofisini kwao akipita Makonda akitaka assessment ya wananchi yanaibuka madudu ambayo hatakuonekana kwenye internal Assessment na Mtu alipandishwa mivyeo

Public sector iwe Serikali,bunge au mahakama wapimwe sio tu internally external assessment ifanyike Kwa staili ya Makonda wananchi wahojiwe Kwa evidence watoe maelezo kama wanaridhika au la
 
Masharti ni rahisi sana shida ni rushwa kutoka kwa wakurugenzi wa taasisi mbalimbali kwa watendaji wa utumishi, yaani utumishi kuna shida kubwa sana..Kuna watumishi wananyanyasika sana bado makazini kwasababu tu wakuu wa taasisi pamoja na wakurugenzi ambao ni Mungu watu hawezi kufanywa chochote na mtu yeyote.
Vitu wanavyovianzisha vipo kwa ajili ya kuumiza upande mwingine...inashangaza sana.
 
Sasa hapo vichekesho ni kwamba watumishi watajaza kwenye mifumo weeee lkn uteuzi watakuja kupewa kina Mwijaku na "wakimbizi" (kama alivyosema CDF)kwa kigezo cha uchawa!!
 
Naona naibu waziri amejitengenezea ka-project ka kupigia fedha za walipa kodi
 
Back
Top Bottom