Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 11, Kikao cha 2 leo Aprili 5, 2023.
RIDHIWANI: SERIKALI HAINA BAJETI YA KUENDELEZA TAASISI ZA WENZA WA VIONGOZI
Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga ameuliza kama Serikali ina mpango wa kuendeleza Taasisi za wenza wa viongozi wakuu Nchini ambazo zinapotea baada ya kutoka madarakani.
Naibu Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amejibu “Hakuna Sheria wala muongozo wa kuwa na Bajeti kwa ajili ya taasisi hizo, kuchukua fedha za umma kupeleka kwenye taasisi za watu binafsi, hilo jambo halijakaa sawa.”
RIDHIWANI: SERIKALI HAINA BAJETI YA KUENDELEZA TAASISI ZA WENZA WA VIONGOZI
Mbunge wa Kilombero, Abubakar Asenga ameuliza kama Serikali ina mpango wa kuendeleza Taasisi za wenza wa viongozi wakuu Nchini ambazo zinapotea baada ya kutoka madarakani.
Naibu Waziri wa Nchi Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete amejibu “Hakuna Sheria wala muongozo wa kuwa na Bajeti kwa ajili ya taasisi hizo, kuchukua fedha za umma kupeleka kwenye taasisi za watu binafsi, hilo jambo halijakaa sawa.”