Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni hatari kama mtoto wa Rais Rtd na mkuu wa mapolisi katajwa na vyombo vya nje?? Tafuta kushahidi magerezani China na Asia.Ni mwendelezo wa kupambana na MADAWA ya kulevya, ndugu Ridhiwani kikwete ameunga juhudi zinazofanywa na Paul makonda kutokomeza biashara haramu ya MADAWA ya kulevya. Ni wakati sasa wabunge wakaiga mfano wa huyu mbunge katika vita ya madawa ya kulevya. Pongezi kwako mheshimiwa kwa kuunga mkono juhudi Kali ya kupinga mihadarati
Jukumu la kutokomeza biashara hii ni la watanzania wote.
![]()
Je, Ridhiwani ni kweli anaunga mkono au anajisafisha tu kutokana na kutajwa kwake mara kwa mara kwenye madawa ya kulevya?.
.![]()
Tujadili pamoja. Karibu
Kwahiyo wale wanaotajwa na makonda wanaushahidi?? Na kama ushahidi upo kwanini wanaachiwaUmaskin na mawazo potofu unakuchanganya...
Usimsee mtu kama huna sababu maalum za kumshutumu na ushahid wa kujiridhisha..hata kama ungelikuwa bi weqe sidhan kama ungefurahia
Dogo hao siyo watuhumiwa ni madrug dealers tayari pale alitumia tafsida tuSasa si watuhumiwa wanatajwa?Yeye kamtaja Ridhione kikwete kuwa ni dealer,hayo ndio mapambano yenyewe!
Dogo keshasahau baba yake alivyoweka rehani rasilimali zetu kwa Mchina kuokoa kichwa chakeNi mwendelezo wa kupambana na MADAWA ya kulevya, ndugu Ridhiwani kikwete ameunga juhudi zinazofanywa na Paul makonda kutokomeza biashara haramu ya MADAWA ya kulevya. Ni wakati sasa wabunge wakaiga mfano wa huyu mbunge katika vita ya madawa ya kulevya. Pongezi kwako mheshimiwa kwa kuunga mkono juhudi Kali ya kupinga mihadarati
Jukumu la kutokomeza biashara hii ni la watanzania wote.
![]()
Je, Ridhiwani ni kweli anaunga mkono au anajisafisha tu kutokana na kutajwa kwake mara kwa mara kwenye madawa ya kulevya?.
.![]()
Tujadili pamoja. Karibu