Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Ridhiwani: Mapambano na Madawa ni kama yameanza

Kumbe mh naye yupo kwenye mapambano, hii vita itafanikiwa sana, kama hadi wakuu wa vita wameamua kuingia vitani!!!.
Mh mtukufu wa dar, ongeza jembe hilo likusaidie.
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Watu wa chadema ni kama mmechanganyikiwa.Kile ambacho unakataa Mbowe asifanyiwe unakifanya kwa Ridhiwani
 
Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Acha kupaniki...
 
Hili la madawa kwa ridhiwani litapita Maana mwanzoni alisingiziwa kuwa lake oil ni yake wakati lake oil Ilikuwepo tangu anazaliwa
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Ni watanzania wapi waliomshangilia? Maana hili litakuwa sawa na walichofanya kumshangilia fisadi papa la list of shame mwembechai!
 
dd7dcdb9269e3557352d945584085ca5.jpg


My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......

Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......

Halafu watanzania wanamshangilia .....

Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......

Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....

Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........


Unajiapiza kama una uhakika.
 
Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
kuwa na adabu na imani za watu.
 
Kwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
Kama ile picha ya makonda akifunga viatu vya riz ni Photoshop tungemwona riz kwenye list otherwise mi naagiza kikombe cha kahawa niendelee na mambo yangu
 
Huyo kijana yupo ktk system ya serikali jina lake likitajwa mnataka simba dume angurume msoga patakua hapakaliki hata huyo kondakta nae anayake kipindi cha DC
 
Kwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
Hahahahaaa, mkuu acha zerewu, hujaona picha mtu anamfunga kamba za viatu? yaani atoke kule mpaka kumuweka kwenye list?
 
Mna uhakika na mnayoyasema au, mnaongea tu kujifrahisha angalien mdomo ucje kuponza jino
 
Huyo Si alikamatwa China?.....kama alivyo sema Dr Slaa!!!
 
Makonda alivyo Funga viatu vya Huyu jamaa akapata uDC je anaweza sema lolote juu ya huyu Jamaa???
 
Back
Top Bottom