Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wa chadema ni kama mmechanganyikiwa.Kile ambacho unakataa Mbowe asifanyiwe unakifanya kwa Ridhiwani![]()
My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......
Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......
Halafu watanzania wanamshangilia .....
Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......
Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....
Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
Acha kupaniki...Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
ndio nashangazwaWatu wa chadema ni kama mmechanganyikiwa.Kile ambacho unakataa Mbowe asifanyiwe unakifanya kwa Ridhiwani
Ni watanzania wapi waliomshangilia? Maana hili litakuwa sawa na walichofanya kumshangilia fisadi papa la list of shame mwembechai!![]()
My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......
Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......
Halafu watanzania wanamshangilia .....
Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......
Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....
Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
![]()
My take :
Maajabu hayaishi Tanzania na nitaendelea kushangaa watu kulalamika kwa nini tupo hapa.......
Eti huyu naye anawanyoshea kidele wauza dawa za kulevya?.......
Halafu watanzania wanamshangilia .....
Hapa niwaambie tu ukweli hakuna kinachofanyika juu ya madawa ya kulevya zaidi ya kusafisha mtu ili aendelee na biashara zake za dawa kwa ukamilifu zaidi zaidi awamu hii.......
Hili jambo likifanikiwa Tanzania itaendelea kuwa ajabu la 8 dunia.....
Narudia tena Ridhiwani hana ubavu wa kukemea madawa ya kulevya tuache unafiki watanzania.........
kuwa na adabu na imani za watu.Sasa unashangaa nini kama sio uchizi tuu? Hivi si ni nyie mliopinga Makonda kuwataja? Sasa nikuulize unashangaa nini? Kama una ushahidi na wewe peleka polisi....
Mlivyo sikia kuna Mapapa sijui mlidhani ni Papa Francis au Benedicto? Wametajwa Mapapa mmeanza kulia lia na mnataka wengine watajwe wakati wakitajwa mnapiga kelele.
Kama ile picha ya makonda akifunga viatu vya riz ni Photoshop tungemwona riz kwenye list otherwise mi naagiza kikombe cha kahawa niendelee na mambo yanguKwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?
Hahahahaaa, mkuu acha zerewu, hujaona picha mtu anamfunga kamba za viatu? yaani atoke kule mpaka kumuweka kwenye list?Kwani huyu dogo Riz hayupo katika orodha ya kijana Makonda?