Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

Kwa hiyo Chadema sasa mnaungana kusema kumbe Ridhiwan hauzi unga, mlikuwa mnamsingizia tu?
Mkuu mr gentleman kwa swali lako hilo majibu yako fasaha haya hapa chini. Huyu ndiyo alikua anasema na anajua yote hayo.

Na sio kuwasjigizia CDM kila kitu.
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
 
Kikubwa na kizuri tumekubaliana wote sasa kwamba Ridhiwan hauzi unga. Tusijeona ona tena mjadala kwamba Ridhiwan ni muuza unga .Vyama vyote na wananchi wote tumekubaliana ili hapa rasmi hahahahahahah raha sana.


Makonda kamtaja Ridhiwani anauza unga , hiyo ndo ishu . Makonda noma kamgeuka hadi aliyempa ukuu wa wikaya.

Makonda mwombe radhi Ridhiwani
 
Kwa sababu,umetumia busara kuuliza nkujibu,lRidhiwan jina lke lilikuepo kwny ile orodha ya mwsho aliyojimasibu mpk watoto wa viongoz wamo ila majina hayakusomwa na orodha ya watuhumiwa ilikabidhiwa kwa commissioner wa kupambana na drigs
Commissioner wa kupambana na ' drigs ' ndo nani mkuu?
 
Riz 1 akiingia marekani nitajua ni msafi.
 
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
kwanini ulikuwa unamtetea hapo nyuma sasa hivi unamgeuka??inamaana mnacheza mchezo mmoja
 
weka hilo tamko hapa kuonyesha chadema kanda ya pwani wamemtetea ridhiwan acha propaganda mkuu hazisaidii chochote. Ridhiwan na chadema wapi na wapi !!!
 
kwanini ulikuwa unamtetea hapo nyuma sasa hivi unamgeuka??inamaana mnacheza mchezo mmoja
hahahahaha ndo wapo hivyo hata cku makonda akihama ccm utaskia oooh mfoji vyeti cjui jambazi wakati kipindi hki tukisema hawa ccm wanamtetea
 
So far kwenye List zote za Bashite hakuna hata mmoja katiwa hatiani na either tume or Mahakama.
Conclusion.
Bashite hajui afanyalo
hawa jamaa wanatufanya watanzania wajinga sana na wakutuchezea akili
 
umechanganya madesa mimi nimesema amshukuru makonda kamsafisha wewe unabwabwaja yako ambayo cjayasema
 
Mtu mwenye hatia anakimbia bila kufukuzwa! Hii vita ni ya Mungu! Na sisi wananchi tunasema Amen Ra
vita gani ya Mungu??? huyo makonda anakesha kwa waganga afu ndo wamhusisha na Mungu r u serious??? Mungu anafurahia kuwataja watu wasio na hatia au bila ushahidi afu ukawachafua hadharani ''the case of gwajima and the 65???'' eti hicho ndo Mungu anataka???
 
umechanganya madesa mimi nimesema amshukuru makonda kamsafisha wewe unabwabwaja yako ambayo cjayasema
ndo nasema hata kma amehusika kwa staili ya makomda huwezi mkamata mtu!!! wote 65 walihojiwa hamna aliyekamatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…