Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

Aache kumtafuta mchawi, Makonda hakumtaja na hata kama angetajwa lazma awajibike kuwa mtoto wa Rais mstaafu hakumpi kinga yautokuwajibika ipasavyo kwa lolote
 
Moja ya mambo magumu sana duniani ni pamoja na kupambana na mabepari. Ngoja tuone nani ataibuka kinara ktk hili dance
 
Nayajua yote. By the way Ridhiwani aache kulialia. Tuhuma za yeye kuhusika na madawa ya kulevya zimeanza kitambo. Mnakumbuka ile ishu ya kule china? Hizi ni tuhuma za muda mrefu. Asianze kutafuta pa kutokea
Wewe na Ritz si mlikua watetezi wake humu?
 

hyo ilikuaa baada ya kuhojiwa
 
Enzi zile ambazo Tanzania ilikuwa na kitengo cha Usalama wa Taifa, Makonda angeondoka madarakani kwa kulinda maslahi na usalama wa Taifa. Leo hatuna Kitengo cha Usalama wa Taifa ila tuna kitengo cha usalama wa mtu binafsi. Ni ajabu kwamba kitengo hiki kinaangalia kile anachopenda mtu fulani tu na sio maslahi mapana ya Taifa. Yaani wakiona Makonda na huyu baba yake wako salama basi wao huhesabu kuwa Taifa lipo salama. Shame on them!
 
Riz ww acha unafiki, juzi ulivyotoka kuhojiwa ulifurahi sana, na ukaandika mwenyewe mitandaoni kuwa hawakukuta ukitumia au kuuza, and you feel free.. Leo unalaumu nn? Pia rumours kuwa ww ni muuzaji wa drugs zilikuwa muda mrefu kabla hata Magu hajawa Rais... Riz unatafuta kiki kwa hili, Makonda hakukutaja, hapa
unachochea mambo, na umefanya hivyo baada ya Makonda kwenda Clouds.. But haisaidii Mh. Rais yuko makini sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…