Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutoa ushauri sahihi kutokana na uhalisiaKazi ya usalama wa Taifa ni nini?
Ni kunusa kila jambo kabla halijatokeaKazi ya usalama wa Taifa ni nini?
muda bado kidogo hili wimbi la wamama kulea watoto peke yako wakiitwa super woman subiri hicho kizazi kinachokuja kitakuwa ni zaidi ya kenya, wenge wa hao vijana ukitazama ni 18-25 kenya huu u single mother waliuanza muda!Afadhali wakenya,,siyo hapa Tanzania tunahali mbaya na kunyanyaswa na seeikali lakini hatuchukui hatua
Hapo kwenye Namba 4 kaamua kumwaga Mboga😆😁
Toka mwanzo naona huu ni muendelezo wa harakati za wajaluo kuukataa ushindi na urais wa Ruto; tofauti sasa ni kuwa Gachagua kama anataka kujitenga na RutoHapo kwenye Namba 4 kaamua kumwaga Mboga😆😁
Sijui Ukabila utaisha lini kwenye Jamhuri ya Kenya?!
Kweni huyo Mkuu wa Usalama ni Kabila gani mpaka Wajaluo watembeze Fitina?!Toka mwanzo naona huu ni muendelezo wa harakati za wajaluo kuukataa ushindi na urais wa Ruto; tofauti sasa ni kuwa Gachagua kama anataka kujitenga na Ruto
Na kuisaidia CCM kuiba KURAKutoa ushauri sahihi kutokana na uhalisia
Ruto nominates Noordin Haji as new NIS Director General
Kweni huyo Mkuu wa Usalama ni Kabila gani mpaka Wajaluo watembeze Fitina?!
Wasomali wengi Kenya wako ofisi nyeti na wamejaa sana idara ya uhamiaji.kenyaHalafu ana asili ya kisomali😎
Wakikuyu wanalia kuwa wasomali sasa wameanza kuwafunika🙂Wasomali wengi Kenya wako ofisi nyeti na wamejaa sana idara ya uhamiaji.kenya
Wao wenyewe unaukubali sana, maana ukimsikiliza riggy mwisho anasema wanataka kukuta na wawakilishi kadha wa vijana ila hawana viongozi wala kabilaHapo kwenye Namba 4 kaamua kumwaga Mboga😆😁
Sijui Ukabila utaisha lini kwenye Jamhuri ya Kenya?!