Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

Rihanna Hana makosa kuvaa nguo za Masista

Kuna

Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.

Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
Kuna labda taifa lolote ambalo limeweka zuio kisheria uvaaji wa hayo mavazi?
Je, bible ya Waroma ina msitari unaokataza mtu asiye kuwa mtawa kuvaa hayo mavazi?

Je,kuna zuio mahala popote lilopo kisheria ama kiimani kwa mtu asiyekuwa Mroma kuvaa hayo mavazi?

Kama hakuna vielelezo vya hayo maswali yangu niko pamoja na Rihana.
 
Una-catch feelings haraka sana.

Dini zinaongozwa na binadamu, hata kama mnaaminishwa ni kwa divine inspiration.

Na as long as mwanadamu anahusika lazima tu kutakuwa na weaknesses: ulawiti, mauaji, ugaidi, n.k.

Yote haya yanazifanya ziwe vulnerable na zistahili kukosolewa, kudhihakiwa, kupondwa, n.k.

Hebu kuwa rational, acha kuona mambo kwa hisia.
Unajua sababu za vurugu ni nn duniani? Usipende kuingilia maamuzi ya watu ,unaweza kuwa sawa kwako ila kuingilia mambo ya watu ndio tatizo.

Vita vyote vinasababishwa na hayo mambo ya kuleta ujuaji mbele ya watu wengine.
 
Kuna

Kuna labda taifa lolote ambalo limeweka zuio kisheria uvaaji wa hayo mavazi?
Je, bible ya Waroma ina msitari unaokataza mtu asiye kuwa mtawa kuvaa hayo mavazi?

Je,kuna zuio mahala popote lilopo kisheria ama kiimani kwa mtu asiyekuwa Mroma kuvaa hayo mavazi?

Kama hakuna vielelezo vya hayo maswali yangu niko pamoja na Rihana.
Hakuna.Hata akina baba wanaruhusiwa kuvaa.
NB;Hivi bikini/g-string kuna sehemu imeandikwa ivaliwe na akina nani tu?
 
Unajua sababu za vurugu ni nn duniani? Usipende kuingilia maamuzi ya watu ,unaweza kuwa sawa kwako ila kuingilia mambo ya watu ndio tatizo.

Vita vyote vinasababishwa na hayo mambo ya kuleta ujuaji mbele ya watu wengine.
Mbona wewe unaingilia maamuzi ya watu ya kukosoa, kudhihaki na kuponda?
 

Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo.

Watu ilibidi waelewe kwanini Rihanna kaamua kuvaa vile na sio kuleta makasiriko yasiyo na maana.
Samahani mkuu....
Kwani huyo Rihana ndio nani huko daslam...🤔
 
Back
Top Bottom