Umalaya tu mbona libaya hili demu...hamfikii Bad girl bana[emoji1787][emoji1787]Asap asingechomoa hapa cheki mtoto wa kiarabu huyuView attachment 2188077
Mimba ya bahat nasibu ile,Ngoma ikivuma sana mwishoe hupasuka....huyu demu na huyo muhuni walikuwa kituko duniani, full kuzurira na mimba akiwa uchi utadhani yy ndo wa kwanza kubeba ujauzito dunia nzima...
Lazima pangetokea tukio tu la kumtuliza hilo wenge[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mmmh mbovuu[emoji57][emoji57]Amina MuaddiView attachment 2188079
Sure ...bado wanaharakati hapo kumsusia biashara na muziki wake[emoji848][emoji848]Asap is going to be most hated dude on the Planet. Cheating on pregnant Riri was a bad move
Hata Drake mkuu, alikuwa na mapenzi ya dhati kwakeYan yule Bilionea wa kiarabu tu ndio alikua sahihi kwake jamaa angemuoa hao wengine wahuni tu!
Kwani Rihanna alikuwa na matatizo ya uzazi?[emoji1787][emoji1787]Mpk sahv ASAP ndio mshindi,
Tayar Keshatia kitoto tumboni mwa rihanna.
Japo rihanna anaumia kua cheated,
ila furaha aliyonayo moyoni mwake Haina kifani, ASAP kumzawadia mtoto maishan mwake imekua Kama miujiza. HAKUAMINI.
Ndo maana kutwa kucha rihanna Yuko mitaani na kitumbo chake, Anaenjoy TU.
I bet hawa watarudiana TU[emoji4]
Alikuwa anatafuta mtoto?Shida ya Rihanna Ni mtoto,
Uyu Dogo asap Alikua anapiga TU kimya kimya, ila rihanna baada ya kuchepuka na Dogo akanasa mimba Ndo akaifanya kua OFFICIAL na kumzingua mwarabu rasmi[emoji4]
Mmmmh mkuu...Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.
Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.
Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
Wazazi hawaachan, hawa sasa ndo gari imewaka haizimi, ila inakua silence kwa muda tyuuuj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Mpk sahv ASAP ndio mshindi,
Tayar Keshatia kitoto tumboni mwa rihanna.
Japo rihanna anaumia kua cheated,
ila furaha aliyonayo moyoni mwake Haina kifani, ASAP kumzawadia mtoto maishan mwake imekua Kama miujiza. HAKUAMINI.
Ndo maana kutwa kucha rihanna Yuko mitaani na kitumbo chake, Anaenjoy TU.
I bet hawa watarudiana TU[emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] ila witty wee.Ngoma ikivuma sana mwishoe hupasuka....huyu demu na huyo muhuni walikuwa kituko duniani, full kuzurura na mimba akiwa uchi utadhani yy ndo wa kwanza kubeba ujauzito dunia nzima...
Lazima pangetokea tukio tu la kumtuliza hilo wenge[emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Riri kupata mimba tyuuh inatoshaa.Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.
Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.
Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
Drake si ameoa nawee? Mie nataman arud kwa Chris breezyMmmh mbovuu[emoji57][emoji57]
Asap bana anajiokotea tu daaah!
Haya muuza viatu huyu, sasa si huwaga anagonga na mama ntilie huyu!
Sema Riri hana bahati na mapenzi, ukweli usemwe, kuanzia Chris brown, mwarabu, drake sasa na huyu marastaa...
Rihanna arudi kwa Drake huyu jamaa nahisi alimpenda sana Riri kuliko wengine
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]Dem katembea na jamaa wakt anajua kabs ni baba mtarajiwa ikitokea na kwake unashangaa anamind [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Alafu hyu mtoto anaonekana ana mlio kitandan mzur km IPhone macho 3Asap asingechomoa hapa cheki mtoto wa kiarabu huyuView attachment 2188077
Ataishangaa karma...asubiri aoneDem katembea na jamaa wakt anajua kabs ni baba mtarajiwa ikitokea na kwake unashangaa anamind [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]