witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Nani mzungu sasa hapo mkuu?nilichojifunza hapa waafrika kw usaliti tumerithisha Hadi wazungu
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani mzungu sasa hapo mkuu?nilichojifunza hapa waafrika kw usaliti tumerithisha Hadi wazungu
Chris hampendi Rihanna...Riri ndo alikuwa kaoza kwa breezyDrake si ameoa nawee? Mie nataman arud kwa Chris breezy
Noma sanaRiri kupata mimba tyuuh inatoshaa.
Asap kaweka kijusi tumboni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Karma za mapenzi hizi haziogopeshi sana ndio maana watu hawajali sana 😀😀😀
Kina hamisa haoDem katembea na jamaa wakt anajua kabs ni baba mtarajiwa ikitokea na kwake unashangaa anamind [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Drake ameoa lini?Drake si ameoa nawee? Mie nataman arud kwa Chris breezy
Yaan mie nilitaman Chris na riri ndo wawe mke na mume na wazae watoto wazuri. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Chris hampendi Rihanna...Riri ndo alikuwa akaoza kwa breez
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Aseeee namuunga mkono mwamba kiukwel wanaume tamaa ni nature na nature haikwepekiAmina MuaddiView attachment 2188079
Kheeeh mbna nilikua najua kaoa huyu mtu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Drake ameoa lini?
Chris huyu mwenye 3 kids with 3 baby mamas[emoji28]Yaan mie nilitaman Chris na riri ndo wawe mke na mume na wazae watoto wazuri. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Hajaoa sema ana mtoto amezaa na former porn starKheeeh mbna nilikua najua kaoa huyu mtu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mweeeeeeh, hataree sana.
Jaribu kujadili usaliti sio watu....ndomana nikassema hivyo
Billionea asingecheat?Yan yule Bilionea wa kiarabu tu ndio alikua sahihi kwake jamaa angemuoa hao wengine wahuni tu!
MDA mrefu Sana kaangaika kutafta mtoto anakosaKwani Rihanna alikuwa na matatizo ya uzazi?[emoji1787][emoji1787]
Huyo jamaa kajiharibia, subiri uone
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Yes
Rihanna sahv Yuko na Miaka 34.Mmmmh mkuu...
Wewe ndo nakusikia leo kuwa Rihanna alikuwa ana matatizo ya kuzaa, huyu demu mbona bangi na pombe tu muda, toka akiwa mdogo[emoji848]
Halafu hana umri mkubwa kiviile hadi kukata tamaa[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app