Tetesi: Rihanna na Asap Rocky wameachana

Tetesi: Rihanna na Asap Rocky wameachana

Ngoma ikivuma sana mwishoe hupasuka....huyu demu na huyo muhuni walikuwa kituko duniani, full kuzurira na mimba akiwa uchi utadhani yy ndo wa kwanza kubeba ujauzito dunia nzima...

Lazima pangetokea tukio tu la kumtuliza hilo wenge[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.

Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.

Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
 
Mmmh mbovuu[emoji57][emoji57]

Asap bana anajiokotea tu daaah!

Haya muuza viatu huyu, sasa si huwaga anagonga na mama ntilie huyu!

Sema Riri hana bahati na mapenzi, ukweli usemwe, kuanzia Chris brown, mwarabu, drake sasa na huyu marastaa...

Rihanna arudi kwa Drake huyu jamaa nahisi alimpenda sana Riri kuliko wengine

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpk sahv ASAP ndio mshindi,
Tayar Keshatia kitoto tumboni mwa rihanna.

Japo rihanna anaumia kua cheated,
ila furaha aliyonayo moyoni mwake Haina kifani, ASAP kumzawadia mtoto maishan mwake imekua Kama miujiza. HAKUAMINI.

Ndo maana kutwa kucha rihanna Yuko mitaani na kitumbo chake, Anaenjoy TU.

I bet hawa watarudiana TU[emoji4]
Kwani Rihanna alikuwa na matatizo ya uzazi?[emoji1787][emoji1787]

Huyo jamaa kajiharibia, subiri uone

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.

Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.

Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
Mmmmh mkuu...

Wewe ndo nakusikia leo kuwa Rihanna alikuwa ana matatizo ya kuzaa, huyu demu mbona bangi na pombe tu muda, toka akiwa mdogo[emoji848]

Halafu hana umri mkubwa kiviile hadi kukata tamaa[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpk sahv ASAP ndio mshindi,
Tayar Keshatia kitoto tumboni mwa rihanna.

Japo rihanna anaumia kua cheated,
ila furaha aliyonayo moyoni mwake Haina kifani, ASAP kumzawadia mtoto maishan mwake imekua Kama miujiza. HAKUAMINI.

Ndo maana kutwa kucha rihanna Yuko mitaani na kitumbo chake, Anaenjoy TU.

I bet hawa watarudiana TU[emoji4]
Wazazi hawaachan, hawa sasa ndo gari imewaka haizimi, ila inakua silence kwa muda tyuuuj, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Ngoma ikivuma sana mwishoe hupasuka....huyu demu na huyo muhuni walikuwa kituko duniani, full kuzurura na mimba akiwa uchi utadhani yy ndo wa kwanza kubeba ujauzito dunia nzima...

Lazima pangetokea tukio tu la kumtuliza hilo wenge[emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] ila witty wee.
 
Mimba ya bahat nasibu ile,
Rihanna alushakata tamaa ya KUZAA maishan mwake.

Kuna kipind alushatumbukia Kwny madawa na kujaribu kujiua ikashindikana.

Tusimlaumu,
Ni furaha yake KASOTA SANA kupata ile mimba[emoji4]
Riri kupata mimba tyuuh inatoshaa.
Asap kaweka kijusi tumboni, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmmh mbovuu[emoji57][emoji57]

Asap bana anajiokotea tu daaah!

Haya muuza viatu huyu, sasa si huwaga anagonga na mama ntilie huyu!

Sema Riri hana bahati na mapenzi, ukweli usemwe, kuanzia Chris brown, mwarabu, drake sasa na huyu marastaa...

Rihanna arudi kwa Drake huyu jamaa nahisi alimpenda sana Riri kuliko wengine

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Drake si ameoa nawee? Mie nataman arud kwa Chris breezy
 
Dem katembea na jamaa wakt anajua kabs ni baba mtarajiwa ikitokea na kwake unashangaa anamind [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
 
Back
Top Bottom