Tetesi: Rihanna na Asap Rocky wameachana

Ila mwanaume ukishalala na mwanamke zaidi ya mara mbili unamuona wa kawaida tu.😂
 
Mie nasubiria tu kumuona mtoto wa riri maana mimba tumeiona mwanzo mwisho
 
Rihanna sahv Yuko na Miaka 34.
Kwa mwanamke hujapata hata mimba ya kusingizia inaleta Sana stress
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…